quimby_joey
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 390
- 164
naombeni msaada, jamaa yangu mmoja yuko mkoani alikuwa 5th cohort law school kanipigia simu muda huu kuwa kuna tetesi matokeo yao yameshatoka nami sina taarifa. Kama kuna yeyote mwenye uhakika wa tetesi hizi aniarifu tafadhali niweze kufikisha ujumbe.