Wanajamvi,
Ni aibu kubwa sana kwa Taifa hili matokeo ya wanafunzi wanaosomea Clearing and Forwarding (FULL TIME student) yametoka wiki hii na hali ni mbaya sana
wanafunzi waliofanya mtihani ni 107 (100%)
wanafunzi waliofaulu bila suplemetary 3 (2.8%)
wanafunzi walipata suplementary 17 (15.8%)
wanafunzi waliodisco (failure) 87 (81.3%
Jamani elimu yetu inaelekea wapi?????? kuna mambo mawili nimeona kwa haraka haraka.
Ni aibu kubwa sana kwa Taifa hili matokeo ya wanafunzi wanaosomea Clearing and Forwarding (FULL TIME student) yametoka wiki hii na hali ni mbaya sana
wanafunzi waliofanya mtihani ni 107 (100%)
wanafunzi waliofaulu bila suplemetary 3 (2.8%)
wanafunzi walipata suplementary 17 (15.8%)
wanafunzi waliodisco (failure) 87 (81.3%
Jamani elimu yetu inaelekea wapi?????? kuna mambo mawili nimeona kwa haraka haraka.
- wanafunzi either hawasomi au walimu hawafundishi ipasavyo hivyo wanafunzi wanalimwa na external examiners ama
- Kuna juhudi za makusudi za kuendelea kuzalisha mambumbu ndani ya taifa hili.