Mwanasiasa kijana ana faida gani hasa zaidi ya kunyonya kodi zetu? Ujinga mkubwa huu.
Siasa zitapita, bali neno la Mungu litadumu milele.
mkubwa ntake radhi hapo kwenye red,Lakini mkubwa,nakumbuka wewe uliweka kigezo cha kura moja kwa mtu na ndio maana mimh nikapiga kura moja kwa mtu 1 tu sasa unavyosema eti zilizopigwa nyingi ulizigawanya mimi sikuelewi na unatuhuma ya kujibuMkuu ulitaka nani ashinde? Wasira au shibuda?
Matokeo hayo ni halali na hayajachakachuliwa kama unabisha rudia kuhesabu kwa kufata maelekezo yaliyotolewa.
MATOKEO YA KURA:
1.John Mnyika
2.Zitto Kabwe
3.Prophet G. Lema
4.Deo filikunjombe
5.Joseph Mbilinyi (sugu)
6.Nape Nnauye
7.January Makamba
8.Halima Mdee
9.Joshua Nassary
10.livingstone lusinde
"KARIBUNI KWA UCHAMBUZI NA COMPLAINTS"
mkubwa ntake radhi hapo kwenye red,Lakini mkubwa,nakumbuka wewe uliweka kigezo cha kura moja kwa mtu na ndio maana mimh nikapiga kura moja kwa mtu 1 tu sasa unavyosema eti zilizopigwa nyingi ulizigawanya mimi sikuelewi na unatuhuma ya kujibu
mkubwa! Huu sio utaratibu ulio uweka toka awali,ndio maana nasema matokeo si ya kweli
Naombeni msome kwa makini Kura zilizohesabiwa ni zile ambazo wapiga kura walitaja majina ya washiriki hata kama ni majina 4 yaliyotajwa kura hizo ziligawanywa kwa watu wote waliotajwa na wapiga kura.
una?"{4#$%^%&^*** nini!!!! Lusinde umemweka wa nini hapo, mtoe na makamba toa...hata mnyika si sana...kama hamjui KAFULILA ni safi tatizo lke ni kulia KIONGOZI hutakiwi ulie lie unapokubwa na masahibu...mtoe lusinde..bora wabaki chdema
mkubwa! Huu sio utaratibu ulio uweka toka awali,ndio maana nasema matokeo si ya kweli
mkuu umechakachua kama tume ya uchaguzi ZITTO hana mvuto Ukilinganisha na kamanda LEMA
samahani mkuu! T waz jst a chalenge 2u, Hebu fuatilia ile post na updates zake zote kwa makini kuna majibu ya maswali yako yote.
Weka wazi vigezo vilivyotumika!na je unazungumzia ubora au umaarufu!!!????
teh!teh!teh!......mkubwa! Tendwa tena!dah?haya majibu kama ya magufuli ya kupiga mbizi....ha!ha!ha!thats according to u,
Hayo mengine mpigie simu Tendwa au subiria tue ya katiba itakapokufikia utatoa maoni yako. Thats ol