rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
itakuwa ndiyo mwisho wa dunia??
miaka 5 tena na ccm itakuwaje?
itabidi tuachane na ushabiki wa siasa tuendelee na shughuli zetu tuwapishe ccm watawale milele
nasema hivi kwa sababu mashabiki wa chadema hapa hawapendi challenge yoyote ile
kwa kujitetea ndiyo wenyewe,wengi wao hawajui kujenga hoja
learn from mistake man!
miaka 5 tena na ccm itakuwaje?
itabidi tuachane na ushabiki wa siasa tuendelee na shughuli zetu tuwapishe ccm watawale milele
nasema hivi kwa sababu mashabiki wa chadema hapa hawapendi challenge yoyote ile
kwa kujitetea ndiyo wenyewe,wengi wao hawajui kujenga hoja
learn from mistake man!