Matokeo St. Agustine Mwanza yanatia aibu

JOEL ELPHAS

Member
Feb 8, 2013
20
9
Leo tarehe 13.8.2014 Chuo kikuu cha mtakatifu agustine main campus mwanza imetia fora baada ya kubandika matokeo ya semista ya pili ambayo idadi kubwa ya wanafunzi wamesap somo la basic English ya katigula na comm skills kwa mwaka wa kwanza hivyo wote walio supp mitihani ya sup inatarajiwa kuanza tarehe 8.9.2014
 
sasa matokeo yao ya kidato cha nne tu waliya-standardize, degree unategemea nini.

Ni halali yao bwana.
 
leo tarehe 13.8.2014 Chuo kikuu cha mtakatifu agustine main campus mwanza imetia fora baada ya kubandika matokeo ya semista ya pili ambayo idadi kubwa ya wanafunzi wamesap somo la basic English ya katigula na comm skills kwa mwaka wa kwanza hivyo wote walio supp mitihani ya sup inatarajiwa kuanza tarehe 8.9.2014

kama huingii vipindi vya babu kati sahau kufaulu somo lake...nimemmiss sana..huyo mzee havaagi viatu zaidi ya sendo toka zama hizo..
 
leo tarehe 13.8.2014 Chuo kikuu cha mtakatifu agustine main campus mwanza imetia fora baada ya kubandika matokeo ya semista ya pili ambayo idadi kubwa ya wanafunzi wamesap somo la basic English ya katigula na comm skills kwa mwaka wa kwanza hivyo wote walio supp mitihani ya sup inatarajiwa kuanza tarehe 8.9.2014

.... Mwandishi na Mwanzilishi wa Uzi huu ni Msomi wa Chuo Kikuu hapa Tanzania. Kazi kweli kweli!:A S confused:
 
Sam,

Nimesema tatizo ni kufunga ndoa hali tukiwa na umri mdogo. Tumeisha funga ndoa hivyo hata tukirudi nyuma na kuwa wajamaa haitaweza kusaidia kitu. After all hatufahamu Ujamaa ni kitu gani!.

Bikra yetu imeisha ondoka tukiwa wachanga, watu wameisha toa mahali zao na shule hatuwezi kurudi kwa sababu sasa hivi maisha yetu ni kumtumikia bwana, majukumu mengi sana, elimu hatuna ya kutosha na hivi sasa msisitizo wote wa viongozi wetu ni sawa na elimu ya ngumbaru. Ukisha olewa na zaa majukumu huzidi ndani ya nyumba na huwezi kurudi utoto kutafuta elimu kwa muda maalum. Tanzania leo hii ni taifa tegemezi na tutaendelea kuwa tegemezi kwa mume hadi siku ambayo tutaamua kutoka ktk ndoa hii. Siku tutakapo mpata baba kipenzi, mzalendo -Chavez wetu.

Kuna tofauti kubwa kati ya Utawala na Uchumi. Utawala hufuata imani yenu ktk dira ya kitaifa - Ujamaa na kujitegemea. Hii ilikuwa dini ama dhehebu letu ndani ya dini hiyo ya kikomunist. Tanzania tulikuwa wajamaa na nchi isiyofungamana na upande wowote, lakini sio tafsiri ya uchumi wa nchi nzima.

Chini ya Ujamaa, kiuchumi Tanzania tuliweka mbele mikakati ya ujenzi wa miundombinu, viwanda na misingi ya uzalishaji kabla ya kuanza kufikiria hata kufanya hiyo biashara. Kwa bahati mbaya watanzania wengi walitegemea kuwepo kwa hali nzuri ya maisha wakati ujenzi huo bado unaendelea. Miaka kumi ya kwanza ya Ujamaa, Uchumi wetu ulikuwa kwa asilimia kumi kila mwaka, rekodi ambayo haijawekwa na nchi yeyote ya Kiafrika hadi leo hii lakini kila senti ilikwenda kujenga malengo yetu - ujenzi wa misingi ya - Ujamaa na kujitegemea.

Maisha yetu sisi wenyewe yalikuwa duni kupindukia - maharage mtindo mmoja, unga wa njano, nguo hatuna, viatu vya matiri n.k hizi ndizo kumbukumbku za Ujamaa lakini la muhimu zaidi kwa mwenye upeo mzuri ilikuwa Ujezi wa misingi ya kiuchumi. Unapojenga huzalishi sawa na kuwa ktk biashara, which was supposed to be our next stage. Mashirika ya Umma yasiyopungua elfu 3 yenye thamani kubwa ktk uchumi wa nchi yeyote. Songos, Na rasilimali zote zilivumbuliwa mapema miaka ya 70. Utajiri tulikuwa nao tayari.

Ni uongo mkubwa kwa viongozi wetu kudai kwamba tumengia Ubepari bila kupenda. Baada ya kifo cha USSR na siasa za Kikomunist -Utawala haikuwa na maana hata uchumi wetu lazima uchukue mkondo.

Marekani ambao ni Mabepari kwa miaka zaidi ya 200 hadi leo wanazo mali za Umma. Uingereza, Germany na France hali kadhalika. China na Urusi ambao ndio vinara wa Ukommunist bado kabisa wapo ktk stage za transition kiuchumi hali wanadaiwa kuwa mapebari, lakini Tanzania tumeisha uza karibu kila kitu hata nguo za kuvaa kuficha uchi.

Sasa nambie, hivi kweli Ubepari unakataza nchi wasimiliki asilimia 51 ya mali zao?... Je, tungekuwa tumefanya makosa gani kuuza asilimia ya mali zetu na zilizobaki kuziweka ktk soko letu la DSE? Bado tungeitwa sisi wajamaa?. Kupokea ruzuku kama malipo ya misingi ambayo tumeijenga kwa shida kubwa, miaka isiyopungua ishirini ni aibu kubwa hasa pale inapofikia sisi kuwa wapangaji ndani ya mali tuliyoijenga sisi wenyewe.

Ikiwa Kweli Chavez ni Mjamaa kwa kutokubali mali ya nchi kumilikiwa yote na wageni basi hata Marekani ni Wajamaa kwa kukataa bandari zao kumilikiwa na kampuni ya nje toka Dubai... kinacho kubalika Marekani ni huyo mgeni (foreigner) Kununuzi hisa ndani ya shirika ya Kiamerika hata kama iwe aslimia 80 lakini shirika linajulikana kama la Kiamerika na litalipa kodi na ruzuku chini ya sheria za Kiamerika. Nje ya hapo unaruhusiwa kununua asilimia 20 tu na lazima Raia wa Marekani awe na hisa kubwa. Hawa hawaitwi Wajamaa na wanayo kila haki ya kutetea mali yao lakini sii sisi akina yakheee.. ubwabwa mezani.

Sio Ubepari wetu sisi ambao unauza nchi kwa visingizio visivyokuwa na msingi.

St. Augustine si ndo inaongoza kwa skendo za picha chafu.. Sasa unategemea mtapata matokeo mazuri?
 
Back
Top Bottom