Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,977
- 958
MATOKEO RASMI YA JUMLA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Idadi ya wapiga kura waliojiandikisha ni 29,759,699
Wapiga kura waliojitokeza Kura ni 15,910,950
Idadi ya kura halali ni 14,830,195
Idadi ya Kura zilizokataliwa ni 261,755
Kura Walizopata Wagombea
Dkt John Pombe Magufuli wa CCM ni Kura - 12,516,252
Leopard Lucas Mahona NRA ni Kura 8787
John Paul Shibuda ADA- TADEA ni Kura 33,086
Muttamwega Mgaywa SAU ni Kura 14,922
Cecilia Augustino Mmanga (Demokrasia Makini) ni Kura 14,556
Maganja Yeremia Kurwa (NCCR) ni Kura 19,969
Lipumba Ibrahim Haruna (CUF) ni Kura 72,885
Philipo John Fumbo (DP) ni Kura 8,283
Membe Benard Kamillius(ACT) ni Kura 81,129
Queen Curthibert Sendiga (ADC) ni Kura 7627
Twalib Ibrahim Kadege (UPDP) ni kura 6194
Rungwe Hashim Spunda (CHAUMMA) ni Kura 32,878
Mazrui Alfan Mohamed (UMD) ni Kura 3721
Seif Maalim Seif (AAFP) ni Kura 4,635
Lissu Tundu Antiphas Mughwai (CHADEMA) ni Kura 1,933,271
ANGALIZO; Watanzania wenzangu TUJITAHIDI KUJUA UMUHIMU WA KUJITOKEZA NA KUPIGA KURA (NGUVU YA KURA YAKO). KUPIGA KURA NI MAAMUZI TOSHA YA KUCHAGUA MTU MWAMINIFU UNAYEMTAKA NA UNAYEMUAMINI ATAKAYESIMAMA KWA AJILI YA KUSIMAMIA MASLAHI MAPANA YA TAIFA.
KATIKA UTAFITI WA UCHAGUZI MWAKA HUU UNAONYESHA KWAMBA
Jumla ya watu Milioni 29,754,999 walijiandikisha kupiga kura
15,910950 Ni idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura
14,830195 Kura halali za wapiga kura
261755 Idadi ya kura Zilizoharibika
12,516,252 Ni idadi ya kura alizopata mgombea wa CCM yaani JPM
1,933,271 Ni idadi ya kura alizozipata mgombea wa CHADEMA yaani TL
Kuna haja pia ya kutoa elimu ya kujitokeza Kupiga kura kwa wananchi.
Kama walijiandikisha Million 29+
Na waliopiga kura ni million 15+
Ina maana kuna watu million 17 hawakupiga kura.
Hata kama kuna sababu kadhaa za watu kutojitokeza kama vifo, kuhama, masomo, vyuo kufungwa, kulazwa hospital, lakini idadi yao imekuwa kubwa sana.
Uchambuzi Mwingine Mfanano: Mwenendo wa Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 2020
Ni masaa takribani 48 tangu wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watimize haki na wajibu wao kikatiba, wa kuchagua viongozi wao katika ngazi ya kitaifa, jimbo na kata. Hatua ya upigaji kura ilikamilika tar 28 Oktoba mwendo wa saa kumi jioni na kupisha hatua za kuhesabu, kujumlisha kura pamoja na kutangaza matokeo katika ngazi ya urais, ubunge na udiwani nchi nzima.
Tume ya taifa ya uchaguzi - chombo chenye mamlaka kisheria kuratibu shughuli za uchaguzi - tayari imeanza kutoa matokeo ya awali ya kura kwa ngazi ya urais. Mpaka makala hii inapoandikwa leo - ambapo matokeo ya majimbo yote 264 yalikuwa yametangazwa na tume ya uchaguzi - Dk. John Pombe Magufuli, mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi ameongoza kwa kupata 84.40% ya kura halali akifuatiwa na Tundu Antipas Lissu wa CHADEMA akiwa na 13.04%.
Matokeo haya yanashabihiana na matokeo ya tafiti huru mbali mbali mbali zilizofanyika kipindi cha kampeni kilichoanza mwezi Agosti na kukoma siku moja kabla ya kupiga kura. Moja ya tafiti hizi ni ile ya kurayamtandaoni.com ambayo ilikamilika huku Dk. John Pombe Magufuli akipata 80.8% akifuatiwa na Tundu Antipas Lissu wa CHADEMA akipata 13.6%. Kura hiyo ambayo ilikuwa wazi kwa mtu yeyote mtandaoni, ilishirikisha zaidi ya watu 47,000 ambayo ni sawa na sampuli ya takribani 1.6% ya watu wote waliojiandikisha kupiga kura.
Taarifa mbalimbali za waangalizi rasmi wa uchaguzi huu zimechapishwa katika vyombo vya habari mashuhuri likiwemo shirika la habari la BBC ambalo limechapisha habari ya taarifa ya Ujumbe wa waangalizi wa Uchaguzi kutoka jumuiya ya Afrika Mashariki. Ujumbe huo ulioongozwa na rais wa zamani wa Burundi, Silvestre Ntibantunganya, umeshuhudia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania ulifanyika kwa kufuata taratibu. Ndg. Ntibantungaya aligusia hali ya usalama katika maeneo mbalimbali, kampeni zilizofanyika kwa uhuru, uratibu wa weledi wa shughuli ya upigaji kura.
Ahsanteni sana mliojitokeza kupiga kura.
Idadi ya wapiga kura waliojiandikisha ni 29,759,699
Wapiga kura waliojitokeza Kura ni 15,910,950
Idadi ya kura halali ni 14,830,195
Idadi ya Kura zilizokataliwa ni 261,755
Kura Walizopata Wagombea
Dkt John Pombe Magufuli wa CCM ni Kura - 12,516,252
Leopard Lucas Mahona NRA ni Kura 8787
John Paul Shibuda ADA- TADEA ni Kura 33,086
Muttamwega Mgaywa SAU ni Kura 14,922
Cecilia Augustino Mmanga (Demokrasia Makini) ni Kura 14,556
Maganja Yeremia Kurwa (NCCR) ni Kura 19,969
Lipumba Ibrahim Haruna (CUF) ni Kura 72,885
Philipo John Fumbo (DP) ni Kura 8,283
Membe Benard Kamillius(ACT) ni Kura 81,129
Queen Curthibert Sendiga (ADC) ni Kura 7627
Twalib Ibrahim Kadege (UPDP) ni kura 6194
Rungwe Hashim Spunda (CHAUMMA) ni Kura 32,878
Mazrui Alfan Mohamed (UMD) ni Kura 3721
Seif Maalim Seif (AAFP) ni Kura 4,635
Lissu Tundu Antiphas Mughwai (CHADEMA) ni Kura 1,933,271
ANGALIZO; Watanzania wenzangu TUJITAHIDI KUJUA UMUHIMU WA KUJITOKEZA NA KUPIGA KURA (NGUVU YA KURA YAKO). KUPIGA KURA NI MAAMUZI TOSHA YA KUCHAGUA MTU MWAMINIFU UNAYEMTAKA NA UNAYEMUAMINI ATAKAYESIMAMA KWA AJILI YA KUSIMAMIA MASLAHI MAPANA YA TAIFA.
KATIKA UTAFITI WA UCHAGUZI MWAKA HUU UNAONYESHA KWAMBA
Jumla ya watu Milioni 29,754,999 walijiandikisha kupiga kura
15,910950 Ni idadi ya watu waliojitokeza kupiga kura
14,830195 Kura halali za wapiga kura
261755 Idadi ya kura Zilizoharibika
12,516,252 Ni idadi ya kura alizopata mgombea wa CCM yaani JPM
1,933,271 Ni idadi ya kura alizozipata mgombea wa CHADEMA yaani TL
Kuna haja pia ya kutoa elimu ya kujitokeza Kupiga kura kwa wananchi.
Kama walijiandikisha Million 29+
Na waliopiga kura ni million 15+
Ina maana kuna watu million 17 hawakupiga kura.
Hata kama kuna sababu kadhaa za watu kutojitokeza kama vifo, kuhama, masomo, vyuo kufungwa, kulazwa hospital, lakini idadi yao imekuwa kubwa sana.
Uchambuzi Mwingine Mfanano: Mwenendo wa Matokeo ya Uchaguzi Tanzania 2020
Ni masaa takribani 48 tangu wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watimize haki na wajibu wao kikatiba, wa kuchagua viongozi wao katika ngazi ya kitaifa, jimbo na kata. Hatua ya upigaji kura ilikamilika tar 28 Oktoba mwendo wa saa kumi jioni na kupisha hatua za kuhesabu, kujumlisha kura pamoja na kutangaza matokeo katika ngazi ya urais, ubunge na udiwani nchi nzima.
Tume ya taifa ya uchaguzi - chombo chenye mamlaka kisheria kuratibu shughuli za uchaguzi - tayari imeanza kutoa matokeo ya awali ya kura kwa ngazi ya urais. Mpaka makala hii inapoandikwa leo - ambapo matokeo ya majimbo yote 264 yalikuwa yametangazwa na tume ya uchaguzi - Dk. John Pombe Magufuli, mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi ameongoza kwa kupata 84.40% ya kura halali akifuatiwa na Tundu Antipas Lissu wa CHADEMA akiwa na 13.04%.
Matokeo haya yanashabihiana na matokeo ya tafiti huru mbali mbali mbali zilizofanyika kipindi cha kampeni kilichoanza mwezi Agosti na kukoma siku moja kabla ya kupiga kura. Moja ya tafiti hizi ni ile ya kurayamtandaoni.com ambayo ilikamilika huku Dk. John Pombe Magufuli akipata 80.8% akifuatiwa na Tundu Antipas Lissu wa CHADEMA akipata 13.6%. Kura hiyo ambayo ilikuwa wazi kwa mtu yeyote mtandaoni, ilishirikisha zaidi ya watu 47,000 ambayo ni sawa na sampuli ya takribani 1.6% ya watu wote waliojiandikisha kupiga kura.
Taarifa mbalimbali za waangalizi rasmi wa uchaguzi huu zimechapishwa katika vyombo vya habari mashuhuri likiwemo shirika la habari la BBC ambalo limechapisha habari ya taarifa ya Ujumbe wa waangalizi wa Uchaguzi kutoka jumuiya ya Afrika Mashariki. Ujumbe huo ulioongozwa na rais wa zamani wa Burundi, Silvestre Ntibantunganya, umeshuhudia kuwa uchaguzi mkuu wa Tanzania ulifanyika kwa kufuata taratibu. Ndg. Ntibantungaya aligusia hali ya usalama katika maeneo mbalimbali, kampeni zilizofanyika kwa uhuru, uratibu wa weledi wa shughuli ya upigaji kura.
Ahsanteni sana mliojitokeza kupiga kura.