Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Darling umechanganyikiwa nini? nitakasirika sasa hivi! Naomba utoke huko bar counter naona kunakuchanganya!
Lol! Sorry mchumba. Nilifikiri leo utashinda kliniki kumbe umewahi kutoka. Ngoja turudi kwenye topic, yale majamaa yakiamka yatatuwashia moto.