Augustine Moshi,
Hivi tumepiga kelele hii toka lini vile?... na hakuna kitu zaidi ya JK kutufunga kamba nyingine..Hivi kweli kuna njia hapa na tutaweza vipi kusimama dhidi ya viongozi wetu?
Kichuguu,
Baabu kubwa mzee, hiyo ndio reality bob na sujui lini tutaamka!
Hivi tumepiga kelele hii toka lini vile?... na hakuna kitu zaidi ya JK kutufunga kamba nyingine..Hivi kweli kuna njia hapa na tutaweza vipi kusimama dhidi ya viongozi wetu?
Kichuguu,
Baabu kubwa mzee, hiyo ndio reality bob na sujui lini tutaamka!