stan john
Member
- Feb 17, 2022
- 51
- 34
Nimetapeliwa laki 1 ,nilitoa tangazo nahitaji maharage ya njano , mwenye namba hii 0789242824 ajanitumia meseji inbox akanambia anamjua anayeuza maharage ya njano yupo kyela ,mbeya na akanipa namba yake ,akanambia ni muaminifu na niwe na amani ntapata maharage ya njano, akanitumia namba za anayueza maharage 0659158964
Nikawasiliana na anayeuza maharage (0659158964) Kwa njia ya meseji (sms) ,akanambia anauza maharage ya njano kilo 2000 ,nikamwambia nataka kilo 50 ,nikamtumia laki moja kwenye namba yake , baada kumtumia akanambia maharage yatafika kesho ,kesho ikafika akanambia mzigo wanashusha Moro , kesho yake Tena namtafututa na kumpigia simu hapokei inaita tu na Wala meseji hajibu mpaka sasa hajibu sms Wala nikimpigia hapokei
Facebook anatumia jina la ramsek na biashara
Namba anayotumia ni 0659158964
Kanitapeli pesa yangu ya mtaji wa biashara
Nikawasiliana na anayeuza maharage (0659158964) Kwa njia ya meseji (sms) ,akanambia anauza maharage ya njano kilo 2000 ,nikamwambia nataka kilo 50 ,nikamtumia laki moja kwenye namba yake , baada kumtumia akanambia maharage yatafika kesho ,kesho ikafika akanambia mzigo wanashusha Moro , kesho yake Tena namtafututa na kumpigia simu hapokei inaita tu na Wala meseji hajibu mpaka sasa hajibu sms Wala nikimpigia hapokei
Facebook anatumia jina la ramsek na biashara
Namba anayotumia ni 0659158964
Kanitapeli pesa yangu ya mtaji wa biashara