Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Kuna matangazo ya dawa ukoko za kupambana na malaria.
Tatizo kubwa kwenye tangazo hili ni ujumbe unaotolewa kuwa gharama zote zinalipwa na serikali, ukweli wa mambo kuwa serikali haina hela bila ya wananchi, kwa nini sasa tangazo hili halielezi ukweli kwamba gharama zimelipwa kutokana na kodi za wananchi?
Nadhani sasa umefika wakati wasomi na watu wote wenye uelewa watoe elimu ya uraia kuhusu namna serikali inavyopata pesa na matangazo ya namna hii yapingwe kwa nguvu zetu zote.
Tatizo kubwa kwenye tangazo hili ni ujumbe unaotolewa kuwa gharama zote zinalipwa na serikali, ukweli wa mambo kuwa serikali haina hela bila ya wananchi, kwa nini sasa tangazo hili halielezi ukweli kwamba gharama zimelipwa kutokana na kodi za wananchi?
Nadhani sasa umefika wakati wasomi na watu wote wenye uelewa watoe elimu ya uraia kuhusu namna serikali inavyopata pesa na matangazo ya namna hii yapingwe kwa nguvu zetu zote.