MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
Niko hapa cmanjiro wazee 'wanene' kifedha wanasemezana 'eti nasikia hawa jamaa wamechukua hata udiwani kata karibu zote..Sasaa' anasema mmoja wakiwa wameegemea gari lililochafuka na matope ya mvua. Labda wametoka Arumeru. 'itabidi nimuhimize mwanangu mmoja aisee aingie kwa hawa majamaa "cdm" manake hii yetu imeshavurugwa na manyang'au'