bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 757
- 1,020
Kwema jamani!
Mara nyingi watu tukiwa na umwezo huwa tunaimani kwamba masikini walio wengi ni wavivu .
Nimejaribu kufuatilia kiundani nimegundua Hawa jamaa wanapambana usiku na mchana but Neema ya Mungu haipo upande wao kwa Sasa.
Hivyo ukiwa juu jitahidi kumuomba Mungu akupe Neema ya kuendelea kuwa imara kiuchumi pia karibu kuwashika mikono waliochini ambao unadhani wanauelekeo halisi wa mapambano ya kiuchumi.
Mara nyingi watu tukiwa na umwezo huwa tunaimani kwamba masikini walio wengi ni wavivu .
Nimejaribu kufuatilia kiundani nimegundua Hawa jamaa wanapambana usiku na mchana but Neema ya Mungu haipo upande wao kwa Sasa.
Hivyo ukiwa juu jitahidi kumuomba Mungu akupe Neema ya kuendelea kuwa imara kiuchumi pia karibu kuwashika mikono waliochini ambao unadhani wanauelekeo halisi wa mapambano ya kiuchumi.