Bokohalamu
Member
- Mar 13, 2012
- 94
- 8
Hawajasema itatumika wapi
Ok vp time ya interview kwenye email hawaja eleza!?
Hawajasema itatumika wapi
Ok vp time ya interview kwenye email hawaja eleza!?
Saa 6 ,unaenda na kitambulisho
Okey mkuu tugawane experience kidogo juu ya sample ya maswali waliyokua wakiuliza wakati huo ktk written interview. .Ok poa, mi nitaenda tu hivyo hivyo bila ya serial number,itakua ni mara ya Pili sasa hawa jamaa kufanya nao interview, sehemu na position ileile. Maswali wakati ule yalikua kama ni professional,ila mpaka leo sijaelewa operation
officer ni prof kwa maana ya kwamba kuna course yake!!?
Ok poa, mi nitaenda tu hivyo hivyo bila ya serial number,itakua ni mara ya Pili sasa hawa jamaa kufanya nao interview, sehemu na position ileile. Maswali wakati ule yalikua kama ni professional,ila mpaka leo sijaelewa operation officer ni prof kwa maana ya kwamba kuna course yake!!?
Saa 6 ,unaenda na kitambulisho
Ok poa, mi nitaenda tu hivyo hivyo bila ya serial number,itakua ni mara ya Pili sasa hawa jamaa kufanya nao interview, sehemu na position ileile. Maswali wakati ule yalikua kama ni professional,ila mpaka leo sijaelewa operation officer ni prof kwa maana ya kwamba kuna course yake!!?
sorry yawezekana kuna makundi kadhaa kwa nyakati tofauti yatafanya maana yangu imeandikwa itaanza 08:30 AM na sio saa 6.
Mimi nilitumiwa email juzi lakini leo wamenitumia tena sms, nakushauri subiri watakutumia tu, ila kama hadi trh 13 watakuwa hawajakutumia nenda IFM saa mbili asubuhi unawezakuwa umepangwa kundi la asubuhi saa 2.30.Hapo kwenye time mbili tofauti ndio utata!Ama niende ya 08:30AM nikawasikilizie utaratibu wao na kuwaonyesha na sms ikibidi.
Ok poa, mi nitaenda tu hivyo hivyo bila ya serial number,itakua ni mara ya Pili sasa hawa jamaa kufanya nao interview, sehemu na position ileile. Maswali wakati ule yalikua kama ni professional,ila mpaka leo sijaelewa operation officer ni prof kwa maana ya kwamba kuna course yake!!?
Mpaka sasa kuna michango 22 ila hakuna hata moja iliyomjibu aliyeanzisha uzi loh cjui roho ya kwa nini au vipi kama nafasi ipo ipo tu ..wenye uzoefu na hizi interview wasaidieni wadogo zenu wakajaribu bahati zao mbona mnakwepa...mnataka mkapasue peke yenu ili
muwe shortlisted? Watu wanauzoefu ila wanapta
kimyaaa kama hawaoni vile so vizuri hivo...kama
mlikua bize kwa kazi haya basi leo sunday toeni
msaada bas siku ndo zinakatika hizo...karibuni.