mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Sijui muandaaji wa haya maswali huwa ana level gani ya Elimu , ila kiuhalisia maswali mengi ya Kipima Joto Huwa haya Logic kabisa . Na mengi si ya kichangamoto, unamuuliza mtu swali direct question kabisa na jibu lake unalijua .
Ni vyema mngetulia mkaja na Maswali mazuri , maudhui ya kipindi ni mazuri ila mnakiharibu, kupitia Kipima Joto Mngeweza kuja na matokeo Ya Tafiti Mbalibali kama Maoni ya Watanzania.
Ni vyema mngetulia mkaja na Maswali mazuri , maudhui ya kipindi ni mazuri ila mnakiharibu, kupitia Kipima Joto Mngeweza kuja na matokeo Ya Tafiti Mbalibali kama Maoni ya Watanzania.