S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,670
- 32,935
Unajua maana ya kusema kitu hakipo?
Unaposema hakuna hiyo inamaana HAKUNA....
Hilo ni hitimisho,huwezi kufikia hitimisho bila njia ya kukufikisha huko kwenye hitimisho,njia yako wewe iliyokufikisha huko ni "mgongano wa kimantiki" katika sifa za Mungu,kimsingi wewe hukupaswa kuwepo hapa kujadiliana na yoyote maana tayari umeshaamua HAKUNA ....
Unaposema let's say 2+2=5 ni sawa kwakuwa vyote 5 na 4 abalo ni jibu sahihi vyote vina exist kwenye theory za kimahesabu,HAKUNA haiexist mahali popote,ni badala ya HAKUNA ndio maana kwenye Falsafa HAKUNA HAKUNA....
Kwanini usikiri tu huna majibu na kukubali mungu anaesemwa kwenye biblia na quran kuwa anajipinga?
Kwanini utapetape wakati nafsi inakusuta?
Kwanini ujifanye unajua kumbe hujui?
Kwanini ulazimishe tuukubali upumbavu?
Any way ngoja nikusikilizie unavyotokwa tena na povu.