S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,692
- 33,019
Hili jibu limenichekesha sanaaaa.....
Nimekumbuka neno katika biblia
" Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea, Kampe divai yeye alie na uchungu nafsini
Anywe akausahau umaskini wake, Asiikumbuke tena tabu yake"
Mithali 31: 6-7
Alinishangaza kwa kusema eti majibu tayari.