Maswali kwa CDF Mstaafu, Venance Mabeyo

Nimemshangaa sana anavyohoji uwepo wa Prof Janabi kwenye matibabu ya JPM ambaye tuliambiwa alikufa kwa ugonjwa wa moyo. Alitaka nani awepo?
Angejiongeza kifdogo tu hata kwenye google asome cv za huyo tuliyeambiwa ndiye alikuwa daktari binafsi wa JPM akijulikana kama Prof Mabula Mchembe. Kwenye google cv yake inasomeka kama ifuatavyo:
Dr. MABULA DAUD PAUL MASALU MCHEMBE
MD, M.Med(Surgery)(UDSM),FCS(ECSA),Cert.Cardiothoracic Surgery.

Kwa hiyo daktari binafsi wa JPM ni surgeon, bingwa wa upasuaji. Ugonjwa tulioambiwa umemuua ni ugonjwa wa moyo, ambao bingwa wa fani hiyo ni Prof Janabi. Hivyo ilikuwa muhimu na lazima kumshirikisha Janabi katika jopo la kumtibia mkuu JPM.
Hapa umegusa pazito sana.
 
Tiba ya JPM ilihitaji maarifa zaidi ya yale aliyonayo daktari wake (Prof Mchembe) ambaye ni surgeon. Na kwenye mahojiano retired CDF amesema Mchembe alikuwepo. Kiitifaki, kama umewahi kutibiwa hospitali utaelewa kuwa daktari wako anayekutibu ndiye anayefanya consultation kwa wenzake au kuandika rufaa. Kwa mantiki hiyo, Prof Mchembe ndiye aliyeomba msaada wa Prof Janabi katika hiyo case.
Nakuelewa sana..
 
Kama ndo nakuwa Rais Leo naanza ku-arrest mmoja baada ya mwingine mamaye! naanza na Mabayo then Diwano anafuata Sirri, akina Janabo na wengineo

Watasema ukweli tu! Yaan Rais anakufa kama panzi na nyie mpo tu?
Dawa ya moto ni moto na anayeuwa kwa upanga naye atafia kwa upanga na ukichimba shimo refu utatumbukia mwenyewe hayo ndiyo yaliyomkuta Magufuri.
 
Hatimae tumemsikia na kumshuhudia aliekuwa Chief of Defense Forces kupitia media na mtu ambae inaonekana ndie alikuwa kiongozi wa nchi kwa muda wa siku zote Marehemu JPM akiwa anapigania uhai wake na hatimae kuondoka Duniani!

Lakini maelezo yake yameongeza sintofahamu zaidi kuliko alivyotarajia. Na kwa wengine hasa mimi binafsi,
Sasa nimeelewa maana ya "karma". Muda mfupi baadae mtoto wa kiume wa Mabeyo aliekuwa Pilot pale Coastal Aviation alianguka na ndege uwanja wa Seronera akiwa yeye na rubani mwanafunzi wa vitendo (trainee) na wote walifariki Dunia.

Hili kwa sasa sintaliongelea sana ila nimeliweka hapa ili kuonyesha ukuu wa Mungu na Malipo yake kwa wale anaotaka kuwapa majibu ya matendo yao wakiwa bado hai.

Na wakati mjadala ukiendelea kuhusu mambo kadhaa ya kisiasa kutoka na hotuba ya Mstaafu Mabeyo!
Sisi wengine tunajiuliza wwali muhimu: Ni kwa nini walituficha ugonjwa wa mpendwa Rais wetu JPM?
Tunajiuliza: Dk Janabi alikuwa pale muda wote akifanya nini ilhali yeye hakuwahi kuwa Daktari wa JPM, bali alikuwa ni Daktari wa familia ya Kikwete na pia swahiba ya JK?

Tunajiuliza ...ni kwa nini walikwenda kumficha pale Mzena badala ya kumpeleka kwenye hospitali nyingine yenye hadhi ikiwezekana hata nje ya nchi? Tunajiuliza. Kama waziri mkuu alituficha. Makamu wa Rais alituficha!
Ni nani au kikundi gani kilikuwa kinaratibu haya mambo?

Tunajiuliza: Kama Mkuu wa majeshi aliambiwa na JPM awali kwamba wamrudishe nyumbani akafie huko.Ni kwa nini aligoma kutimiza takwa la Marehemu? Na kwa nini hakuwashirikisha wengine ili wachukuwe maamuzi sahihi?

Je, Magufuli aliugua ugonjwa gani huo ambao madaktari walikaa pembeni wakimshuhudia akipigania uhai wake akiwa kama mateka? Anasema alipofariki wao wakuu wa vyombo ndio waliwajulisha viongozi kama PM, CS na baadae makamu wa rais, ena wote hawakuwepo eneo la tukio.

Hatuoni mahala makamo wa Rais, mwanasheria mkuu, Wala jaji mkuu au spika wakiwa na maamuzi yeyote. Kila kitu kilipangwa na jeshi. Huyu Mabeyo ameongea, iko siku na wengine wataanza kuongea. Damu ya mtu huwa haipotei bure.

Kama kuna jambo lilipangwa na kufanywa na kikundi fulani,kinyume na tulivyoamishwa sisi wananchi. Na kwa jinsi siku ya Jana ilivyopita bila hata serikali ya Saa100 kujishughulisha na lolote kuhusu kumbukumbu hii muhimu nchini.

Tutashuhudia taraatiiibu!

R.I.P Jemedari JPM!

Wameanza kuropoka huku!
Kama profesa Janabi ambaye ni daktari wa Kikwete ndo alikuwa anamtibu, madaktari wa JPM walikuwa wapi?

Kwasababu Mabeyo ndo alimtaja huyo daktari. Wengine waliokuwepo around pamoja na Mabeyo ni mkuu wa polisi pamoja na mkuu wa usalama.

Kitendo cha Maghufuli kumtaka Mabeyo mkuu wa jeshi atoe amri kwa daktari/madaktari ili apelekwe nyumbani akafie huko, kwangu inanifanya nijiulize kuhusu mahusiano ya Maghufuli na madaktari kwa wakati huo.

Kwa hali ya kawaida, alishindwaje kumuuliza professa Janabi na kumuomba apelekwe nyumbani hadi amtumie mkuu wa majeshi?

Madaktari wa mwendazake walikuwa wapi?
 
Nadhani uwepo wa Janabi uliwafanya watu wahisi kuwa alikuwa na kazi maalum, hasa kutokana na kilichotokea baada ya kifo cha JPM. Yaani wale mzee Kinana kurudishwa ghafra kwenye uongozi wa chama na mtoto wa yule mzee mwenzake waliokuwa wakimtukana JPM kurudishiwa uwaziri na mtoto wa JK kuteuliwa uwaziri. (kumbe it was just a coincidence)
Hoja ya kutopelekwa Ulaya nadhani wanadhani kama CDF hakutii hoja ya kuamuru akafie kwao, angeshindwaje kutotii kukataa kutibiwa nje, maana kwa maelezo ya Mabeyo ni kama JPM had no powers to order anything ambacho kwa busara ya Mabeyo kingesound illogical.
Kuhusu kuachwa apiganie uhai wake kama mateka, nadhani wanajiuliza kwa nini hata mke wake hakuruhusiwa awepo kushuhudia kinachotokea kwa baba watoto wake?
Inaonekana JPM died a very lonely and painful death.
Nadhani hakutendewa haki kufariki pasipo kuonana na kuwaaga wapendwa wake. It seems Mrs Magufuli knows nothing kilichokuwa kikiendelea kuhusu last minutes za mume wake (na inatia mashaka - it was designed so)

Nadhani baadhi ya watu ndivyo wanavyodhani
Unafkiri Lissu angepata muda wa kuaga familia yake, akina Ben Saanane, Mawazo n.k hawakutamani kuonana na wapendwa wao?

Karma is real brother. Tuipende haki na kuiishi haki.
 
Hata sijachagua maswali ya kukujibu, ngoja niendelee...

- Nchi inakuwa chini ya uongozi wa VP, hili lipo kikatiba.

- Katiba inazungumzia pale Rais anapokuwa nje ya nchi, kwa shughuli za kikazi, ugonjwa au vinginevyo, Makamu wake ndie anashika hatamu. Au ulitaka Katiba iseme kitu kuhusu VP kutopewa taarifa za ugonjwa wa Hayati JPM?!

Nani kati yenu mwenye uhakika kama VP hakuwa anafahamu chochote kuhusu hali ya ugonjwa wa Hayati JPM, narudia tena zipo njia nyingine za mawasiliano kufikisha ujumbe kwa mhusika, wakati ambao Mabeyo hakuwepo, ndio maana nasisitiza mwenye jibu la mwisho kuhusu hili, ni Samia pekee.

Mabeyo kazungumzia aliyoyaona mwenyewe, mengine yaongelewe na wengine. Naamini hata PM nae akiulizwa kuhusu hili jambo atakuja na part yake tofauti ambayo Mabeyo hakuigusa, hivyo hivyo kwa VP na wengine.

- Suala la waratibu, hao mbona wanaonekana wazi, ukianza na Mabeyo mwenyewe kwa cheo chake, PM Majaliwa, waliokuwa eneo la tukio, na viongozi wengine serikalini inawezekana walishirikishwa kwa mbali, wasingeweza wote kujazana kwenye chumba cha mgonjwa.

- Uwepo wa Dr. Janabi eneo la tukio pia nimekwambia inaweza kuwa ni ushauri wake kitaalamu ndio uliohitajika eneo husika, kama hata Dr. binafsi wa Hayati Magufuli humfahamu mpaka unaniuliza ni nani hasa, mimi siwezi kukupa jibu kwasababu hata nami sikuwa namfahamu.

• Hapa nakushangaa, kama hukuwa ukimfahamu daktari wa Hayati Magufuli, kwanini ushangae kutokuwepo kwake?!

• Mtu ambaye hata hukuwa ukimfahamu, unaulizia vipi uwajibikaji wake?!

Hata kuhusu kifo cha kijana wa Mabeyo kwenye ajali { sikumbuki kilitokea wakati gani}, napo sioni cha kushangaza, hakuna karma pale; ni nani kati yetu asiyekufa? au wewe ndie hupanga nani afe lini? mimi sioni uzito wowote wa hoja
Shida hapo ni dokta janabi! Mtaeleza maelezo mengi tu lakini main problem ni dk janabi
 
Hatimae tumemsikia na kumshuhudia aliekuwa Chief of Defense Forces kupitia media na mtu ambae inaonekana ndie alikuwa kiongozi wa nchi kwa muda wa siku zote Marehemu JPM akiwa anapigania uhai wake na hatimae kuondoka Duniani!

Lakini maelezo yake yameongeza sintofahamu zaidi kuliko alivyotarajia. Na kwa wengine hasa mimi binafsi,
Sasa nimeelewa maana ya "karma". Muda mfupi baadae mtoto wa kiume wa Mabeyo aliekuwa Pilot pale Coastal Aviation alianguka na ndege uwanja wa Seronera akiwa yeye na rubani mwanafunzi wa vitendo (trainee) na wote walifariki Dunia.

Hili kwa sasa sintaliongelea sana ila nimeliweka hapa ili kuonyesha ukuu wa Mungu na Malipo yake kwa wale anaotaka kuwapa majibu ya matendo yao wakiwa bado hai.

Na wakati mjadala ukiendelea kuhusu mambo kadhaa ya kisiasa kutoka na hotuba ya Mstaafu Mabeyo!
Sisi wengine tunajiuliza wwali muhimu: Ni kwa nini walituficha ugonjwa wa mpendwa Rais wetu JPM?
Tunajiuliza: Dk Janabi alikuwa pale muda wote akifanya nini ilhali yeye hakuwahi kuwa Daktari wa JPM, bali alikuwa ni Daktari wa familia ya Kikwete na pia swahiba ya JK?

Tunajiuliza ...ni kwa nini walikwenda kumficha pale Mzena badala ya kumpeleka kwenye hospitali nyingine yenye hadhi ikiwezekana hata nje ya nchi? Tunajiuliza. Kama waziri mkuu alituficha. Makamu wa Rais alituficha!
Ni nani au kikundi gani kilikuwa kinaratibu haya mambo?

Tunajiuliza: Kama Mkuu wa majeshi aliambiwa na JPM awali kwamba wamrudishe nyumbani akafie huko.Ni kwa nini aligoma kutimiza takwa la Marehemu? Na kwa nini hakuwashirikisha wengine ili wachukuwe maamuzi sahihi?

Je, Magufuli aliugua ugonjwa gani huo ambao madaktari walikaa pembeni wakimshuhudia akipigania uhai wake akiwa kama mateka? Anasema alipofariki wao wakuu wa vyombo ndio waliwajulisha viongozi kama PM, CS na baadae makamu wa rais, ena wote hawakuwepo eneo la tukio.

Hatuoni mahala makamo wa Rais, mwanasheria mkuu, Wala jaji mkuu au spika wakiwa na maamuzi yeyote. Kila kitu kilipangwa na jeshi. Huyu Mabeyo ameongea, iko siku na wengine wataanza kuongea. Damu ya mtu huwa haipotei bure.

Kama kuna jambo lilipangwa na kufanywa na kikundi fulani,kinyume na tulivyoamishwa sisi wananchi. Na kwa jinsi siku ya Jana ilivyopita bila hata serikali ya Saa100 kujishughulisha na lolote kuhusu kumbukumbu hii muhimu nchini.

Tutashuhudia taraatiiibu!

R.I.P Jemedari JPM!

Wameanza kuropoka huku!
Ukiangalia mfumo wa siasa na wana siasa wa bongo, walivyo bize na matamko Yao, unaweza ukaona watu wa maana Sana, kumbe ni mburula tu, wezi tu, akili ndogo,
Sasa, MTU anasimama, kwa, ushabiki wa kijinga, anasema MTU akienda kavaa jezi Fulani, atakamatwa na polisi! Kwani, lazima Uwe shabiki wa timu ya taifa?mijitu inawaza kwa kutumia makalio!
Na, huyu mabeyo,ni usukuma wake tu ndio Uliomfikisha kuwa CDF,ana akili ndogo tu.
 
Back
Top Bottom