Katika hali ambayo hakuitegemea, bwana Joe Biden kajikuta akibananishwa na wapenda haki kanisani:
Kwamba kalazimika kukiri kuwa hata yeye kukereka na kuwa anapambana na Natenyahu, usiku na mchana akimtaka aondoke Gaza?
Kwa hakika yahitaji upofu wa macho na mawazo uliopitiliza kushindwa kuuona udhwalimu wa wazi wa mwislael Gaza.
Kwamba kalazimika kukiri kuwa hata yeye kukereka na kuwa anapambana na Natenyahu, usiku na mchana akimtaka aondoke Gaza?
Kwa hakika yahitaji upofu wa macho na mawazo uliopitiliza kushindwa kuuona udhwalimu wa wazi wa mwislael Gaza.