nachindundu
Member
- Aug 6, 2012
- 17
- 17
ndugu zanguni,ninaomba kufahamu vyuo unavyoweza kusoma masters hapa tanzania ukiwa bado mfanyakazi,inaweza ikawa evening classes au distance learning kabisa.kwa anayefahamu naomba anijuze.my first option ni distance learning,,,,,hata kama kuna vyuo vya nje vyenye reputation nzuri,vinakubalika na TCU na ni affordable kwa mtanzania wa kawaida pia naomba mnijuze....nawashukuru sana,,,nangoja comment zenu