Masters degree full funded scholarships ughaibuni

mwehu ndama

JF-Expert Member
Nov 12, 2019
543
1,875
Wakuu habarini za mida,

Leo nataka niwahabarishe baadhi ya fursa za masomo huku ughaibuni na njia rahisi yakuzifikifikia.

Zifuatazo ni baadhi ya full funded scholarships zisizohitaji GPA ya 3.7 ili uweze kuzinyakua isipokua hata wew GPA ya 2.5 unaweza kuibuka nayo bila matatizo yoyote.

-NAWA scholarships kutoka kwa serikali ya Poland

-DAAD scholarships toka kwa serikali ya Ujerumani

-ITALY GOVERNMENT scholarships kutoka kwa serikali ya italia

-SWEDISH INSTITUTE scholarships kutoka kwa serikali ya sweden

Mimi nikiwa mmoja wa wanufaika wa SWEDISH INSTITUTE scholarships kwa mwaka 2020/2021 kwa leo nitajikita zaidi kuielezea SI scholarship licha ya kuwa na taarifa makini na sahihi kuhusu scholarships zote nilizotaja hapo juu.

Ili kupata Swedish institute (SI) scholarshipa nilazima uwe raia kutoka mataifa yapatayo 42 Tanzania ikiwa miongoni mwao.

Scholarship hii inalenga zaidi kuwapata watu wenye sifa za uongozi huku wakiwa na uzoefu wa masaa yasiyopungua 3000 katika kazi zao husika .

hivyo baadhi uzoefu wako kazini na namna ambavyo uzoefu huo unaendana sambamba na sifa ya uongozi katika program yako ya Masters uliyoomba ndio kigezo kikuu Cha kuibuka kidedea katika maombi hayo bila kujali ushindani wa ufaulu yaani GPA.

Hivyo basi hatua ya kwanza kabisa ya mchakato huu ni kufanya maombi ya chuo katika website yao www.universityadmissions.se
Katika website yao hiyo utafungua account yako huku uliwa na passport yako na kujaza taarifa zako zote muhimu kisha utalipia online kulingana na maelekezo yao ada ya maombi ya chuo ambayo ni krona za kiswedish 900sek sawa na shilingi laki mbili na arobain na tano za nyumbani .

Baada ya hapo huku utachagua programs zako za Masters zisizozidi 4 kutoka vyuo uvipendavyo Kisha kuweka viambatanisho vyako ambavyo ni original copy za passport yako, certificate ya degree, transcripts ,pamoja na requirements zingine kulingana na mahitaji ya chuo ulichoomba,.
KUMBUKA MAOMBI HAYA HUFANYIKA October 16 na deadline ni January 15 admission results hutoka mapema April.

Baada ya kumaliza mchakato wa maombi ya nafasi ya chuo ndipo utaanza mchakato wa maombi ya scholarships ambayo HUFANYIKA katika kipindi Cha siku kumi tu.

Mfano mwaka huu yalifanyika kuanzia tarehe 8 February mpaka tarehe 18 February.

Katika kipindi hiki utaingia katika website yao ya www.si.se ambako nako utafungua account yako ,utajaza taarifa zako na kufanya maombi yako bila malipo yoyote na huko ndipo utakapotakiwa kuwasilisha form zao za maombi ambazo ni Motivation letter, CV, reference letters, leadership and work experience form na hizi zote utazi download toka katika website yao.

Ukikamilisha hayo yote kwa umakini mkubwa hakika Mungu Alie hai atakutendea muujiza kama alionitendea Mimi na hakika utakuja ughaibuni walau kuongwza ujuzi na kusafisha macho na kurudi nyumbani kuwainua watz wenzetu wanaohitaji maarifa zaidi ili kujikwamua.

NB.: application number yangu ilikuwa 13594475 Kama itakavyoonekana hapo pichani na nmeziambatanisha ili kuonyesha uhalisia wa jambo hili.



Screenshot_20210704-144700~2.jpg
Screenshot_20210704-144647~2.jpg
Screenshot_20210704-144731~2.jpg
Screenshot_20210704-144901~3.jpg
Screenshot_20210704-144910~4.jpg
 
Wakuu habarini za mida.
Leo nataka niwahabarishe baadhi ya fursa za masomo huku ughaibuni na njia rahisi yakuzifikifikia.

Zifuatazo ni baadhi ya full funded scholarships zisizohitaji GPA ya 3.7 ili uweze kuzinyakua isipokua hata wew GPA ya 2.5 unaweza kuibuka nayo bila matatizo yoyote.

-NAWA scholarships kutoka kwa serikali ya Poland

-DAAD scholarships toka kwa serikali ya Ujerumani

-ITALY GOVERNMENT scholarships kutoka kwa serikali ya italia

-SWEDISH INSTITUTE scholarships kutoka kwa serikali ya sweden

Mimi nikiwa mmoja wa wanufaika wa SWEDISH INSTITUTE scholarships kwa mwaka 2020/2021 kwa leo nitajikita zaidi kuielezea SI scholarship licha ya kuwa na taarifa makini na sahihi kuhusu scholarships zote nilizotaja hapo juu.

Ili kupata Swedish institute (SI) scholarshipa nilazima uwe raia kutoka mataifa yapatayo 42 Tanzania ikiwa miongoni mwao.

Scholarship hii inalenga zaidi kuwapata watu wenye sifa za uongozi huku wakiwa na uzoefu wa masaa yasiyopungua 3000 katika kazi zao husika .

hivyo baadhi uzoefu wako kazini na namna ambavyo uzoefu huo unaendana sambamba na sifa ya uongozi katika program yako ya Masters uliyoomba ndio kigezo kikuu Cha kuibuka kidedea katika maombi hayo bila kujali ushindani wa ufaulu yaani GPA.

Hivyo basi hatua ya kwanza kabisa ya mchakato huu ni kufanya maombi ya chuo katika website yao www.universityadmissions.se
Katika website yao hiyo utafungua account yako huku uliwa na passport yako na kujaza taarifa zako zote muhimu kisha utalipia online kulingana na maelekezo yao ada ya maombi ya chuo ambayo ni krona za kiswedish 900sek sawa na shilingi laki mbili na arobain na tano za nyumbani .

Baada ya hapo huku utachagua programs zako za Masters zisizozidi 4 kutoka vyuo uvipendavyo Kisha kuweka viambatanisho vyako ambavyo ni original copy za passport yako, certificate ya degree, transcripts ,pamoja na requirements zingine kulingana na mahitaji ya chuo ulichoomba,.
KUMBUKA MAOMBI HAYA HUFANYIKA October 16 na deadline ni January 15 admission results hutoka mapema April.

Baada ya kumaliza mchakato wa maombi ya nafasi ya chuo ndipo utaanza mchakato wa maombi ya scholarships ambayo HUFANYIKA katika kipindi Cha siku kumi tu
Mfano mwaka huu yalifanyika kuanzia tarehe 8 February mpaka tarehe 18 February.
Katika kipindi hiki utaingia katika website yao ya www.si.se ambako nako utafungua account yako ,utajaza taarifa zako na kufanya maombi yako bila malipo yoyote na huko ndipo utakapotakiwa kuwasilisha form zao za maombi ambazo ni
Motivation letter, CV, reference letters, leadership and work experience form na hizi zote utazi download toka katika website yao.

Ukikamilisha hayo yote kwa umakini mkubwa hakika Mungu Alie hai atakutendea muujiza Kama alionitendea Mimi na hakika utakuja ughaibuni walau kuongwza ujuzi na kusafisha macho na kurudi nyumbani kuwainua watz wenzetu wanaohitaji maarifa zaidi ili kujikwamua.

NB.: application number yangu ilikuwa 13594475 Kama itakavyoonekana hapo pichani na nmeziambatanisha ili kuonyesha uhalisia wa jambo hili .



View attachment 1840762View attachment 1840763View attachment 1840764View attachment 1840765View attachment 1840766
Ahsante mkuu.
 
Mkuu mwehu ndama kuna kitu hakiendi vizuri kwako "psychologically" sijuhi upweke wa huko kwa wenzetu au basi tu mwezi mwandamo? Hebu tafuta ushauri kidogo kwa watu wako wa karibu.
 
Mkuu mwehu ndama kuna kitu hakiendi vizuri kwako "psychologically" sijuhi upweke wa huko kwa wenzetu au basi tu mwezi mwandamo? Hebu tafuta ushauri kidogo kwa watu wako wa karibu.
hapana Niko sawaa mkuu wangu PM ni nyingi ndugu wanahitaji niwaelekeze juu ya jambo Hilo so siwez jibu mmoja mmoja imebidi nikiweke hapa mkulungwa
 
Wakuu habarini za mida,

Leo nataka niwahabarishe baadhi ya fursa za masomo huku ughaibuni na njia rahisi yakuzifikifikia.

Zifuatazo ni baadhi ya full funded scholarships zisizohitaji GPA ya 3.7 ili uweze kuzinyakua isipokua hata wew GPA ya 2.5 unaweza kuibuka nayo bila matatizo yoyote.

-NAWA scholarships kutoka kwa serikali ya Poland

-DAAD scholarships toka kwa serikali ya Ujerumani

-ITALY GOVERNMENT scholarships kutoka kwa serikali ya italia

-SWEDISH INSTITUTE scholarships kutoka kwa serikali ya sweden

Mimi nikiwa mmoja wa wanufaika wa SWEDISH INSTITUTE scholarships kwa mwaka 2020/2021 kwa leo nitajikita zaidi kuielezea SI scholarship licha ya kuwa na taarifa makini na sahihi kuhusu scholarships zote nilizotaja hapo juu.

Ili kupata Swedish institute (SI) scholarshipa nilazima uwe raia kutoka mataifa yapatayo 42 Tanzania ikiwa miongoni mwao.

Scholarship hii inalenga zaidi kuwapata watu wenye sifa za uongozi huku wakiwa na uzoefu wa masaa yasiyopungua 3000 katika kazi zao husika .

hivyo baadhi uzoefu wako kazini na namna ambavyo uzoefu huo unaendana sambamba na sifa ya uongozi katika program yako ya Masters uliyoomba ndio kigezo kikuu Cha kuibuka kidedea katika maombi hayo bila kujali ushindani wa ufaulu yaani GPA.

Hivyo basi hatua ya kwanza kabisa ya mchakato huu ni kufanya maombi ya chuo katika website yao www.universityadmissions.se
Katika website yao hiyo utafungua account yako huku uliwa na passport yako na kujaza taarifa zako zote muhimu kisha utalipia online kulingana na maelekezo yao ada ya maombi ya chuo ambayo ni krona za kiswedish 900sek sawa na shilingi laki mbili na arobain na tano za nyumbani .

Baada ya hapo huku utachagua programs zako za Masters zisizozidi 4 kutoka vyuo uvipendavyo Kisha kuweka viambatanisho vyako ambavyo ni original copy za passport yako, certificate ya degree, transcripts ,pamoja na requirements zingine kulingana na mahitaji ya chuo ulichoomba,.
KUMBUKA MAOMBI HAYA HUFANYIKA October 16 na deadline ni January 15 admission results hutoka mapema April.

Baada ya kumaliza mchakato wa maombi ya nafasi ya chuo ndipo utaanza mchakato wa maombi ya scholarships ambayo HUFANYIKA katika kipindi Cha siku kumi tu.

Mfano mwaka huu yalifanyika kuanzia tarehe 8 February mpaka tarehe 18 February.

Katika kipindi hiki utaingia katika website yao ya www.si.se ambako nako utafungua account yako ,utajaza taarifa zako na kufanya maombi yako bila malipo yoyote na huko ndipo utakapotakiwa kuwasilisha form zao za maombi ambazo ni Motivation letter, CV, reference letters, leadership and work experience form na hizi zote utazi download toka katika website yao.

Ukikamilisha hayo yote kwa umakini mkubwa hakika Mungu Alie hai atakutendea muujiza kama alionitendea Mimi na hakika utakuja ughaibuni walau kuongwza ujuzi na kusafisha macho na kurudi nyumbani kuwainua watz wenzetu wanaohitaji maarifa zaidi ili kujikwamua.

NB.: application number yangu ilikuwa 13594475 Kama itakavyoonekana hapo pichani na nmeziambatanisha ili kuonyesha uhalisia wa jambo hili.



View attachment 1840762View attachment 1840763View attachment 1840764View attachment 1840765View attachment 1840766
Hivi hizi scholarship zina age limit kama bado uko working age?

Mfano ukiwa na 35 to 40 unaweza pata hizi full funded scholarship?
 
Hivi hizi scholarship zina age limit kama bado uko working age?

Mfano ukiwa na 35 to 40 unaweza pata hizi full funded scholarship?
Ya italia pekee ndio yenye age limit zingine zote hazina age limit hata uwe na miaka 50 mzee baba
 
Screenshot_20210804-143510.png

Mkuu upo vizur,nakupongeza kwa hilo ...

Mimi nmepambana sana ktk hyo SI scholarship but mara mbili nimeangukia pua....Ila sijakata tamaa.

Naomba muongozo wako mkuu hususani Kwenye scholarship....ntakufata pm
 
Back
Top Bottom