mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,369
- 4,896
Naijua bangi vizuri toka nimeanza itumia bangi huu mwaka wa 22, niamin mm huwez kuvuta bang kama bangi alafu ukafanya mambo ya kijinga kwanza ukivuta unakuwa very smart hata kwenye kuongea utaongea kwa tahadhar sana na point sana....kama kichwa mbovu utakuwa unacheka sana hata kwenye jambo dogo... Nazungumzia bang kama bang na sio mtu umevuta bang anaenda kunywa pombe muda huo huo sigara kinachofuata lazima udate na ufanye mambo ya hovyo