Master degree gani naweza soma kwa sasa yenye soko nchini!

Soma Masters ambayo itakusaidia kijiajiri, achana na mawazo ya kuajiriwa ndugu yangu, hili lidunia la Tanganyika hivi sasa linakoelekea ni mtu usome vizuri ujiajiri mwenyewe!!
 
Mdau mi nakushauri kama unajiamini acha kufikiria ajira na kusoma masters,tafta mtaji fungua ofic kwa elimu uliyonayo utafanikiwa tu.Brash hata viatu,utatoka.Utasoma masters alafu taanza kuzunguka na CV kila kukicha kutafta kazi badae utasema hii nchi ni mbaya kumbe we ndo mbaya.

Umetisha, nimecheka sana kwa post yako.
 
Hata mm nahitaji mawazo manzuri, na hitaji na mm baadae nirudi school kwa ajili ya masters
 
Hata mm nahitaji mawazo manzuri, na hitaji na mm baadae nirudi school kwa ajili ya masters

Kuna watu wanafikiri km wataaluma " life long learners" usifikiri km mtu aliyechoka na hatak ziada zaidi ya alichonacho. Wengine mwisho wa maisha ni kujiajiri tu...sio wote wengine wanataka kujiajiri na kujiendeleza ndio maana kuna Thinkers hapa wanaoweza kusaidia wenzao. Kama huna interest ya kusoma zaid bora usivunje watu moyo. Big up thinker..@ boda
 
Kasome Masters ya "Escrow Accounting & Procedures" hivi sasa ina soko sana nchini utapiga tu hela ya ugali wenzako wameshapiga hela ya mboga.
 
Usije na negative idea..weka mawazo yako hapa ili kusaidia sio mimi tu hata kwa wengine ndio maana nikasema yenye soko..i.e soko linaweza kuwa la kuajiriwa au la kujiajiri..weka mawazo km Great thinker!

Acha ku divert from the reality . Kuwa mkweli ie try to be smart kwa kile ulicho post . hilo soko la kujiajiri linaletwa na masters uliliona wapi ? kujiajiri kielimu kunaletwa na technical education sio masters !!
 
Naomba mawazo yenu wazee wa taarifa ni master degree gani naweza kusoma popote ambayo ina soko hapa nchini. Ni vyema ukanipa na wapi chuo kilipo.
Thanx in advance

Degree ya kazi ni degree ya kwanza, masters ni degree ya show haina lolote!! Waajiri wazuri wanaangalia degree ya kwanza!! Kama uko serikalini itakusaidia tu kupata ukuu Wa idara na siyo ajira! Maana hata kama watatangaza ajira watakwambia masters is an added advantage! Ila tukuulize kwani degree ya kwanza umesomea nini Mkuu?
 
Ama kwel wa2 wanafurahsha humu ndan kwa mashushu,wa2 2tashndwa hata kuomba msaada,maana mmhhhhhh!

Usizingatie sana hilo, kama una jambo unahitaji msaada wewe funguka tu,
Kuna watu wanatoa miongozo na kuchangia vizuri tu humu jf...
Ila kuna wengine ndo kama hivyo tena, nati hazimo...
 
Masters haikupi soko, inaongezea thamani ya kile ulichonacho.
Sasa je wewe una nini chenye soko????
 
Back
Top Bottom