BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,379
- 8,122
Nafasi mbili pekee zimebaki kwa Mastaa wa Nchi nyingine ikiwemo namba 5 ya #Amaarae kutoka #Ghana na nafasi ya 9 ikishikwa na #Libianca kutoka #Cameroon.
Mdau wa Muziki unadhani ni nini kinakwamisha Wasanii wa #Tanzania kufikia viwango hivyo hadi sasa?.