wadau, hivyi ni kweli kuna baadhi ya masuperstars wa kibongo wameweka ndani na mashuga mumiez n shuga dadiez?
Maana kuna kipindi kilirushwa hivyi karibuni na ITV cha mastaa wa kibongo kuelezea wanavyojilinda dhidi ya ukimwi n mada moja wapo wakazungumzia jinsi wenzao (SIJUI KINA NANI HAO?) wanavyowaangusha kuwekwa ndani na hao mashuga dadiez/mummiez...
Maana kuna kipindi kilirushwa hivyi karibuni na ITV cha mastaa wa kibongo kuelezea wanavyojilinda dhidi ya ukimwi n mada moja wapo wakazungumzia jinsi wenzao (SIJUI KINA NANI HAO?) wanavyowaangusha kuwekwa ndani na hao mashuga dadiez/mummiez...