Bilionaire kekeman
Senior Member
- Nov 26, 2022
- 142
- 823
Kwahiyo mkuu Masoud Kipanya unamaanisha sie chadema hatuna vichwa? Kwa maana sie wanachadema hatufikirii?
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa π π π π π€£! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.
Mungu wangu wangu masudi kwahiyo Mwenyekiti Mbowe na jopo lake wanatufanya nyie wanachadema tumeondolewa vichwaa π π π π π€£! Masoud Kipanya umetukosea sana ila hongera sana kwa kututoa akili sie wanachama.