Cnkwabi
Member
- Sep 9, 2012
- 97
- 22
Kumbe upo macho....hahahaaaa...nilikua sijui...hapo nilijaribu kumrekebisha orthografia ..akumbuke kuandika vizuri...au nimefanya vibaya kumkosoa...?acha kuvnga unajua sana ambacho hujaelewa hapo nn?
Kumbe upo macho....hahahaaaa...nilikua sijui...hapo nilijaribu kumrekebisha orthografia ..akumbuke kuandika vizuri...au nimefanya vibaya kumkosoa...?acha kuvnga unajua sana ambacho hujaelewa hapo nn?
Nitafute Nini tena kijana...nilikua nakukumbusha tu kuzingatia orthografia...au nimetenda kosa...?ivo ivo lkn siumeelewa...... usitafute mengine braza
Wakati wewe unakataa hayatabiriki na wew umeanza utabiri wako unajuaje kama hawajafaulu kiasi hiko weka akiba ya maneno muda ukifika mambo yatajipaMatokeo Uwez Yabashil Ww Kijana Izo Ttez Vambastic Na Ata Watu Wa Art Awakufaulu Sana Kana Unavyodai N Uongo
Wakati wewe unakataa hayatabiriki na wew umeanza utabiri wako unajuaje kama hawajafaulu kiasi hiko weka akiba ya maneno muda ukifika mambo yatajipa
Mbna hakuna kitu au bado ijumaa haijafika?Wakuu. Hivi punde nimepata habari kua matokeo ya kidato cha sita 2016 yatatangazwa kesho ijumaa, tarehe 08/07/2016. Kwa mujibu wa waziri wa elimu Pro. Joyce Ndalichako, wanafunzi waliosoma masomo ya sanaa waongoza kwa kufaulu....!! Wanafunzi waliofanya mtihani huo wanatakiwa kuwa na subira tu.
kwelMbna hakuna kitu au bado ijumaa haijafika?