Wataje kwanza wewe halafu ndio tujue cha kufanya vingevyo hakuna tofauti kati ya uzi wako na wa Mange....
Kama wamehojiwa na polisi wa Soth Africa hiyo ni 'news'
tayari
sio lazima kusubiri wapelekwe mahakamani
Yule mtoto wa Kingunge Ngombale aliyeratibu mazishi ya Ngwair kwa ukaribu kabisa na Clouds Media Group si mmoja wapo? Na Je, hawa wa pili nao hawamo?Yapo majina mawili ya watu mashuhuri hapa bongo, mmoja ni mtoto wa kigogo aishie huko na mwingine ni mmiliki wa Media House moja hapa bongo.
Nimeshangazwa mno na wana jf na watanzania kwa ujumla,kuna kesi inaendelea South Africa na waliokamatwa inadaiwa wamewataja waliowabebesha mzigo na hao wahusika wamekamatwa na wamefikishwa mahakama South Africa kwa mujibu wa habari mbali mbali za online.
wahusika ni mmoja mtoto wa kigogo na mwingine ni mmiliki wa Media house Tanzania,cha kushangaza kila mtu anaogopa hata kuwataja majina yaani kesi iko mahakamani South Africa lakini huku hakuna hata media wala mwandishi mmoja mwenye ujasiri wa hata kutaja tu majina ya watuhumiwa,na kila mtu akiombwa kutajiwa majina anaambiwa tu ni watu 'hatari wakubwa'
Wakati hayo yanaendelea watu tuko bize mno kumuandama mbunge wa Kinondoni Iddi Azzan ....hata kama hakuna kesi inayomhusu wala hakuwahi kukamatwa.
Tunamuandama sababu tu ametajwa na mtu tu.
Sasa tujiulize wale wawili wenye kesi South Africa kwa nini wanaogopwa mno?na huyu kwa nini tunamuandama bila woga?
Nini kinaendelea?
Ina maana nchi nzima tunawaogopa na kuwaheshimu mno wauza madawa hata kama wameshafikishwa mahakamani nchi nyingine tunaogopa hata kuwaandika?
Magazetini na kuwataja bila woga?seriously?
mimi ningekuwa na source ya uhakika ningewataja tu
sina woga huo
Hivi nani anamiliki Tanzania Media House? Tuanzie hapo.
Rizmoko yupo nchini?
The Boss jua hapo kuna kitu kinafichwa au Iddi Azan alitajwa kuficha hawa wa South Africa wasitajwe watu washupalie huyu wa hapa waachane na wale wa South Africa na ndo maana kila anayeandika anaaacha dot bila kutaja ni nani huyo mtoto wa kigogo au huyo mmiliki wa media house
Kama wamehojiwa na polisi wa Soth Africa hiyo ni 'news'
tayari
sio lazima kusubiri wapelekwe mahakamani
Wamesema one of the media house
so shortlist iko hivi
1 Reginald Mengi
2.Joseph Kusaga
2.owner wa African media group
3.owner freemedia -mbowe
4 owner wa other media houses