damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
saida karoli alishtuka kama anadhulumiwa akajaribu kukimbia ikashindikana. Hamkumbuki alivyo kimbilia Uganda kumbe aliyemchukua naye tapeli akampigisha show, ela hakumlipa na kumtelekeza akamtelekeza.
Tatizo Saida hana elimu kabisa kwa hiyo kwake lazima ingekuwa ngumu kuji manage.
Muta ana roho ngumu nilisikia siku ile zamarad anaongea naye Muta akiwa USA anamuuliza kuwa kuna movie ya marekani wametumia wimbo wa chambua kama karanga kwenye movie yao, vipi saida kalipwa kwa wimbo wake kutumika. Muta akamjibu hapana naye kasikia ameanza fuatilia malipo ila zile nyimbo sio za saida ni za kwake ndivyo mkataba baina yake na saida unavyosema hivyo akipewa chochote anaweza mpa au asimpe ni uamuzi wake tu.
Na akatia msisitizo kwamba walikuwa wanakula bata baada ya ndugu yake kushinda bahati nasibu flani.
Nashahadia usemi owongo, nakumbuka hili tukio, nilikua na mie naangalia kwenye tv, na nikashangazwa sana. Jamani, acheni tusomesome tu, tuondoe ujinga!