BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
rejao kafanyaje?
Mwambie canta aandze maji ya moto kumkanda....
Mwambie canta aandze maji ya moto kumkanda....
TaiJike, haya mambo siyo ya kuyazungumza hadharani bana...twende zetu chemba tukayamalize!!Rejao kumbuka siku zile ukiwa bado unamwiba Cantalisia kwa babu Mtambuzi uniahidi makirikiri na hujatimizia mpaka leo, sasa naanza kusema moja baada ya ingine.
naogopa wachina!
Ongea pole pole bana nannhii asisikie.
Ongea pole pole bana nannhii asisikie.
...kumbee basi jiachieni kwa raha zenuuuuu...mie nimpate Ankoooo . Cantalisia
...kumbee basi jiachieni kwa raha zenuuuuu...mie nimpate Ankoooo . Cantalisia
rejao kafanyaje?
Mwambie canta aandze maji ya moto kumkanda....
Rejao utakuja na ile simu uliyoniahidi siku ile nilivyokukuta ukasema nisimwambie Canta? sasa najaribu kuficha siri kwani ninakuwa.
huyu Rejao nilimwambia, wanawake wengine wana mikosi, ona sasa siku hizi kafulia.
Hata macho haya-sparkle tena.
Yuko fiti mass nondo,hana tatizo lolote,nimelihakikisha hilo wakati wa kupeana cha mchana.
Hahahaha. . . besti maridadi kasema eti ye ni wako ila muda tuhaujafika. Anataka mpeane muda wa kutosha kujiachia alafu ndio mtulie pamoja.
mmmmmhhhh!!!!!