Ntambaswala
JF-Expert Member
- Dec 7, 2008
- 255
- 78
Hivi yule kiongozi wa NCCR-Mageuzi akiitwa Ali Sumaye yuko wapi siku hizi?
Ngoja niangalie mpaka mwisho, ila mbatia niliyemheshimu sio huyu, he completely out of control. Hana kitu wanajaribu kumpandisha profile ashinde kawe, sijui kama watu wa kawe wanahitaji mtu kama huyu ambaye angefaa aende kanisani, hajui kama anategwa kabisa ni kilaza kabisa
Hivi unataka upupu huu uende Chadema. Chadema siyo dodoki Acha aende ccm.Namshauri James Mbatia amfuate "mentor" wake ktk siasa za Mageuzi, yaani Mabere Nyaucho Marando: Ajiunge na Chadema.
Kama haiwezekani kabla ya tarehe 31 Oktoba 2010, basi afanye hivyo baada ya Uchaguzi Mkuu. NCCR-Mageuzi haina jipya: Kwa sera na misimamo, wao ni Chadema tu, ila labda wafuasi wa Chadema na viongozi wake hawatokei Usalama wa Taifa.
Kuna WAPUUZI wachache walifanya kampeni kuchelewesha uhuru wetu nyakati za nyerere, lakini uhuru ulipokuja wakabadilisha chorus na kujiunga na furaha ya kuwa huru.
Mbatia siyo tija kwa kipindi hiki na sidhani kama tunamhitaji sana kwenye historia na ramani ya mageuzi nchini.
ndo mana nafahamu sasa kwa nini Marando kajiondoa huko.
nasikia ana mke na watoto. aliwapataje hao?
Jamaa choko!
kwa hiyo jamaa ni mwanaume suruali? nawasiwasi jamaa yetu anaweza akawa tupo naye kimwili lakini kiroho yupo kwa mola. Hivi huyo mke bado anaye mpaka leo? na watoto je?Mke alifukuzwa NSSF kwa sababu ya udini wa watu wa ccm pale NSSF, lakini jamaa halielewi chochote. Naweza kuliita hili jamaa ni zezeta tu! Mbatia hana maana kabisa
nasikia na baba yako naye ni mpinzani.....hii ni sifa ya wapinzani wote, usimuonee mbatia peke yake.
Mkuu Isack. wala usikonde. nilishasema hapo mwanzo wa msimu wa kampeni kwamba kabla jua halijatua kila ng'ombe atarejea zizini kwake. Sasa ccm wanatumia majeshi ya akiba. yataisha yote na wataanza kuokota makopo siku chache kabla ya uchaguzidamn! Ninyi wenyewe mmeshasema TBC1. Hata Silaa akienda kuhojiwa pale itamlazimu kufuata maelekezo ya Tido. Ukifuatilia Mbatia na Mrema utagundua kuwa wanatokea kule kwa Mareale aliyekuwa collaborator enzi za ukoloni na pia alipinga mpango wa kuipatia Tanganyika uhuru na kudai uhuru wa watu wa Marangu pekee. Ni wabinafsi hasa na ndio wanaofanya wachaga tuonekane wakabila.
alijisemea MREMA alipohamia TLP watu hawakumwelewa. sasa weye unasema tena tunajitahidi kukuelewa.Jamaa choko!