atatupwa mbali sana!!na huyu je ni mgonjwa?
na huyu je ni mgonjwa?
Tembo akishakamatwa mkonge wake hana ujanja tena, hapo ndio inakuwa imekula kwake!
Hapo nadhani huyo mamba aliingia choo cha kike! nina uhakika hiyo ndio ilikuwa siku yake ya mwisho hapa duniani.