Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Ndugu achana naye huyo UDINI unamsumbua sana yaani hawezi kulala mpaka ameusema vibaya Ukristo.
Mi nimemuuliza tu ili aniambie huyo Paulo anaemwita shetani ni nani ili nami nimjue,au mkuu wewe hutaki kumjua shetani?
Maana inaonekana anavyomshambulia anamjua sana maana hadi naogopa
Najua anajua hata historia yake ndio maana nimemtaka aniambie
Tumsubiri tu mkuu!!