<br />apo unataka kulenga ...KWA SABABU GADNA AYUPO....mhh mbona skuiz wanajitaid bwana...<br />
wamekuja wale makaka wawili wasiwasi sjui na nani yule wapo poa <br />
<br />
wale wadori wawili sjui ni s=wasagaji manake ata awaeleweki wametolewa...manake nilkua sion wanafanya nin pale zaidi ya kuongea upupu wakat kuna mada nzito za kutangaza wao kucheka na utoto mwinng studion...<br />
<br />
bangi la wapi umevuta leo?la meru au singidani au itigi au chunya
nw bora kdg...<br />
<br />
kp gud u guys . ma sdear kibonge nw days anajirekebsha...kp t up km kitu uki9jui kipotezee au google kdg upate tip kuliko kujifanya wajua kila kitu ukisikia TEMBELE WE waanza kuliongelea et tembele lina miguu 6 linakula mafuta kidg ...linadumu ahh wap wakat tembele ni kitu kngne kabsa....bt nw umepunguza kdg ...gudboy kp t up<br />
<br />
<br />
<br />
wsh u lak clouds cz ur real creative n entetang radio..mi sichok kusikiliza ila naishia sa 10..<br />
<br />
naanzaga na hando ila mdada yule mswangilish ananikwaza nampenda pj,then mabishostito wananikosha dina,gea na dahuu AHH PALE NDO KABSAA nkikosa heka heka mi nakonda jaman....bi poza pale kat na wanaume wamenambia....<img src="images/styles/JamiiForums/smilies/bange.gif" border="0" alt="" title="bangetu" smilieid="336" class="inlineimg" />mi raha tu<br />
<br />
<br />
ikja mchana sasa baba johniiii ayayayay hainaga majoto mi kimetameta tu NA stv b n dada samak....<br />
ikja jahaz ahh kdg napunguza SAUT IKIFIKA SA1 AHH NDO KABSA .......<br />
<br />
<br />
MNAJITAIDI KWA KWELI ILA PUNGUZEN USISIEM<br />
<br />
MUNGU AWABARIKI
Cloud Fm ilikuwa inapendwa sana hasa na vijana! Kipindi cha Jahazi Asilia hakina mvuto tena! Tatizo ni nani hapo?
Ah,kwakweli sijasikiliza nina miez takriban 6 sasa,
Cloud Fm ilikuwa inapendwa sana hasa na vijana! Kipindi cha Jahazi Asilia hakina mvuto tena! Tatizo ni nani hapo?