Mkuu jina lake litachafuliwa vipi wakati kwa maelezo yako, Mh. Kigoda ndiye alikuwa analazimisha Ekelege na WTM UK warudi wakati utendaji wao ulikuwa umejaa madudu na utataConfirmed
Joseph B Masikitiko amechaguliwa kuwa mkurugenzi mpya wa TBS
Hii ndio kusema kuwa yule mzee wetu Ekelege na vile vikampuni vyake feki hawatakuwepo tena kwenye viunga vya TBS.
Habari hizi zimepokelewa kwa vifijo na nderemo pale TBS huku watu wakipeana hugs na wengine kulia kwa furaha.
Mleta habari hizi kutoka ndani ya TBS anasema hata Masikitiko mwenyewe alikuwa hajui kama kachaguliwa.
Kigoda kaamua kufanya kweli baada ya jina lake kuchafuliwa hivi karibuni hususan kuhusu ekelege na kampuni ya WTM ya UK ambayo alikuwa analazimisha irudishwe kwenye ukaguzi wa magari wakati hata workshop tu haina.
Tunapenda kumpongeza kigoda kwa ujasiri alioonyesha wa kutomuonea aibu Ekerege.
Kwa hiyo aliyekaimu muda wote huo bwana Kinabo wamempiga chini? Ni lazima apogwe chini maana ni mkristu mlokole na madudu ya pale hayataki kabisa!!
Wote ni hao hao! Wezi watupu!
Ni kweli alikuwa analazimisha WTM warudishwe na alitaka kumrudisha ekelege kinyemela lakini alipopewa ushauri na walio chini yake akawasikiliza.Mkuu jina lake litachafuliwa vipi wakati kwa maelezo yako, Mh. Kigoda ndiye alikuwa analazimisha Ekelege na WTM UK warudi wakati utendaji wao ulikuwa umejaa madudu na utata
Tunajua kuwa wengi wameumizwa na uteuzi wa masikitiko hasa pale ukitambua kuwa kuna wazee kibao waliotegemea kuchaguliwa kuwa wakurugenzi wakuu , hivyo majungu kama haya hatutashangaa.masikitiko ni mwenyeji wa kutoka songea....alianzia pale nbc,amesomeshwa na bank hiyo mpk kupata CPA...baada ya kuja makaburu akapanda mpk akawa director of finance...hakukaa sana kwenye hicho cheo kwani aliiba pesa nyingi sana,akasimamishwa kazi then bank ikatangaza kupunguza wafanyakazi wake kazi(miaka ya 97,98)..pia ikasema wale wenye kesi na waliosimamishwa wanaweza pia kuomba kuacha kazi ...jamaa akaomba kuacha kazi
baada ya kuondoka bank akaelekea Mitsubishi motors...nako huko kuna soo alifanya maana walikuwa wamempa gari wakamnyang'anya...ndipo alipotua tbs.
jamaa ana tamaa na utajiri maana nakumbuka alisota sana pale NBC kabla ya kuwa mkurugenzi,akawa anataka sana kuacha kazi ila boss wake akawa anampa moyo na kumwambia kasome(enzi hizo ifm inamilikiwa na nbc)..akawa anasoma pale...lkn mara tu alipopata cheo ye ni kuiba tu...!
Tunajua kuwa wengi wameumizwa na uteuzi wa masikitiko hasa pale ukitambua kuwa kuna wazee kibao waliotegemea kuchaguliwa kuwa wakurugenzi wakuu , hivyo majungu kama haya hatutashangaa.
Masikitiko piga kazi mkuu, umeweka historia kuwa mkurugenzi kijana kuliko wote waliotangulia
Dah,
Sasa pigo kwa chilisosi kivipi?
......
masikitiko ni mwenyeji wa kutoka Songea....alianzia pale nbc,amesomeshwa na bank hiyo mpk kupata cpa.
Baada ya kuja makaburu akapanda mpk akawa director of finance...hakukaa sana kwenye hicho cheo kwani aliiba pesa nyingi sana,akasimamishwa kazi then bank ikatangaza kupunguza wafanyakazi wake kazi(miaka ya 97,98)..pia ikasema wale wenye kesi na waliosimamishwa wanaweza pia kuomba kuacha kazi ...jamaa akaomba kuacha kazi.
Baada ya kuondoka bank akaelekea mitsubishi motors...nako huko kuna soo alifanya maana walikuwa wamempa gari wakamnyang'anya...ndipo alipotua tbs.
Jamaa ana tamaa na utajiri maana nakumbuka alisota sana pale nbc kabla ya kuwa mkurugenzi,akawa anataka sana kuacha kazi ila boss wake akawa anampa moyo na kumwambia kasome(enzi hizo ifm inamilikiwa na nbc)..akawa anasoma pale...lkn mara tu alipopata cheo ye ni kuiba tu...!
......
Kwa hiyo aliyekaimu muda wote huo bwana Kinabo wamempiga chini? Ni lazima apogwe chini maana ni mkristu mlokole na madudu ya pale hayataki kabisa.