Kutokana na tamko la UV-CCM na hoja zifuatazo
a) Kutaka Kamati iliyo-ongozwa na Mwakiembe ijiuzulu
Masikini UV-CCM ile kamati ilikuwa ya bunge na haikuwa ya Mwakyembe..mwakyembe hawezi wajibishwa ila bunge zima kama mnataka hivyo maana alitumwa na Bunge, masikini mmedandia ajenda/hoja, kama hamjatumwa na mafisadi basi mnatakiwa kujenga hoja upya, hayo maono na ndoto zenu mbona mmechelewa kutuambia hivyo mapema?Hata sidhani kama mna uchungu na nchi yetu tukufu ila mna uchungu na CCM yenu, naamini kwa 100% mmetumwa na Lowassa! kwa hio mnataka nani asafishwe?Lowassa?hapana haiwezekani...mmetumwa na tunafahamu hilo.
b) Kukemea wizi sawa lakini suala la Arusha acheni ushabiki
kwa kukemea wizi tupo pamoja lakini suala la Arusha msiwe washabiki tuliokuwepo na kupigwa mabomu tunajua,mnshabakia amani huku watu wanakufa kwa umasikini kila kunapokucha huku nyie nyie ccm mliowakaribisha hao wanyonyaji kwa tamaa ya madaraka leo hii manajidai mekurupushwa toka usingizini,eti Sla kafukuzwa Upadri mbona nyie hamuwafukuzi wezi wa rasilimali za tanzania,toka mpo madarakani nchi imenuka kwa Rushwa na mnachoganda hapo ni kitu gani si muwapishe wengine tuone mabadiliko,kwa ujumla hakuna jipya ccm ni wezi tu wamejaa huko na uchu wa madaraka wizi wa waziwazi kama mlikuwa manajua mtashinda arusha kwanini mlifanya uchaguzi bila CHADEMA kuwepo ni wizi tu ,na mnajimaliza wenyewe kabla ya kumalizwa,na zaidi mmejaa majungu,wakati wa CUF mliibuka hivi hivi mkafikiri silaha ya udini kwenu itafanya kazi kumbe ndo mnazidi kuumbuka,muwapishe wengine nchi imewashinda hii kwa uchu wenu wa mali na madaraka,wagawa rushwa wakubwa nyie.
a) Kutaka Kamati iliyo-ongozwa na Mwakiembe ijiuzulu
Masikini UV-CCM ile kamati ilikuwa ya bunge na haikuwa ya Mwakyembe..mwakyembe hawezi wajibishwa ila bunge zima kama mnataka hivyo maana alitumwa na Bunge, masikini mmedandia ajenda/hoja, kama hamjatumwa na mafisadi basi mnatakiwa kujenga hoja upya, hayo maono na ndoto zenu mbona mmechelewa kutuambia hivyo mapema?Hata sidhani kama mna uchungu na nchi yetu tukufu ila mna uchungu na CCM yenu, naamini kwa 100% mmetumwa na Lowassa! kwa hio mnataka nani asafishwe?Lowassa?hapana haiwezekani...mmetumwa na tunafahamu hilo.
b) Kukemea wizi sawa lakini suala la Arusha acheni ushabiki
kwa kukemea wizi tupo pamoja lakini suala la Arusha msiwe washabiki tuliokuwepo na kupigwa mabomu tunajua,mnshabakia amani huku watu wanakufa kwa umasikini kila kunapokucha huku nyie nyie ccm mliowakaribisha hao wanyonyaji kwa tamaa ya madaraka leo hii manajidai mekurupushwa toka usingizini,eti Sla kafukuzwa Upadri mbona nyie hamuwafukuzi wezi wa rasilimali za tanzania,toka mpo madarakani nchi imenuka kwa Rushwa na mnachoganda hapo ni kitu gani si muwapishe wengine tuone mabadiliko,kwa ujumla hakuna jipya ccm ni wezi tu wamejaa huko na uchu wa madaraka wizi wa waziwazi kama mlikuwa manajua mtashinda arusha kwanini mlifanya uchaguzi bila CHADEMA kuwepo ni wizi tu ,na mnajimaliza wenyewe kabla ya kumalizwa,na zaidi mmejaa majungu,wakati wa CUF mliibuka hivi hivi mkafikiri silaha ya udini kwenu itafanya kazi kumbe ndo mnazidi kuumbuka,muwapishe wengine nchi imewashinda hii kwa uchu wenu wa mali na madaraka,wagawa rushwa wakubwa nyie.