Masikini UV-CCM kumbe ni wanafiki kiasi hiki

Vumbi

Senior Member
Nov 7, 2010
191
27
Kutokana na tamko la UV-CCM na hoja zifuatazo
a) Kutaka Kamati iliyo-ongozwa na Mwakiembe ijiuzulu

Masikini UV-CCM ile kamati ilikuwa ya bunge na haikuwa ya Mwakyembe..mwakyembe hawezi wajibishwa ila bunge zima kama mnataka hivyo maana alitumwa na Bunge, masikini mmedandia ajenda/hoja, kama hamjatumwa na mafisadi basi mnatakiwa kujenga hoja upya, hayo maono na ndoto zenu mbona mmechelewa kutuambia hivyo mapema?Hata sidhani kama mna uchungu na nchi yetu tukufu ila mna uchungu na CCM yenu, naamini kwa 100% mmetumwa na Lowassa! kwa hio mnataka nani asafishwe?Lowassa?hapana haiwezekani...mmetumwa na tunafahamu hilo.

b) Kukemea wizi sawa lakini suala la Arusha acheni ushabiki
kwa kukemea wizi tupo pamoja lakini suala la Arusha msiwe washabiki tuliokuwepo na kupigwa mabomu tunajua,mnshabakia amani huku watu wanakufa kwa umasikini kila kunapokucha huku nyie nyie ccm mliowakaribisha hao wanyonyaji kwa tamaa ya madaraka leo hii manajidai mekurupushwa toka usingizini,eti Sla kafukuzwa Upadri mbona nyie hamuwafukuzi wezi wa rasilimali za tanzania,toka mpo madarakani nchi imenuka kwa Rushwa na mnachoganda hapo ni kitu gani si muwapishe wengine tuone mabadiliko,kwa ujumla hakuna jipya ccm ni wezi tu wamejaa huko na uchu wa madaraka wizi wa waziwazi kama mlikuwa manajua mtashinda arusha kwanini mlifanya uchaguzi bila CHADEMA kuwepo ni wizi tu ,na mnajimaliza wenyewe kabla ya kumalizwa,na zaidi mmejaa majungu,wakati wa CUF mliibuka hivi hivi mkafikiri silaha ya udini kwenu itafanya kazi kumbe ndo mnazidi kuumbuka,muwapishe wengine nchi imewashinda hii kwa uchu wenu wa mali na madaraka,wagawa rushwa wakubwa nyie.
 
Umenena. Here!!! Here!! Hawana kitu kipya hawa. Wanawatetea baba zao ambao wameshindwa kuipa maendeleo nchi hii wakiacha mamilioni wakiwa impoverished
 
:argue:Wafa maji hao. Nani kawadanganya CCM ina hati miliki ya nchi hii. Wakafie mbali makaburu weusi hao S***t:frusty::frusty:
 
Kutokana na tamko la UV-CCM na hoja zifuatazo
a) Kutaka Kamati iliyo-ongozwa na Mwakiembe ijiuzulu

Masikini UV-CCM ile kamati ilikuwa ya bunge na haikuwa ya Mwakyembe..mwakyembe hawezi wajibishwa ila bunge zima kama mnataka hivyo maana alitumwa na Bunge, masikini mmedandia ajenda/hoja, kama hamjatumwa na mafisadi basi mnatakiwa kujenga hoja upya, hayo maono na ndoto zenu mbona mmechelewa kutuambia hivyo mapema?Hata sidhani kama mna uchungu na nchi yetu tukufu ila mna uchungu na CCM yenu, naamini kwa 100% mmetumwa na Lowassa! kwa hio mnataka nani asafishwe?Lowassa?hapana haiwezekani...mmetumwa na tunafahamu hilo.

b) Kukemea wizi sawa lakini suala la Arusha acheni ushabiki
kwa kukemea wizi tupo pamoja lakini suala la Arusha msiwe washabiki tuliokuwepo na kupigwa mabomu tunajua,mnshabakia amani huku watu wanakufa kwa umasikini kila kunapokucha huku nyie nyie ccm mliowakaribisha hao wanyonyaji kwa tamaa ya madaraka leo hii manajidai mekurupushwa toka usingizini,eti Sla kafukuzwa Upadri mbona nyie hamuwafukuzi wezi wa rasilimali za tanzania,toka mpo madarakani nchi imenuka kwa Rushwa na mnachoganda hapo ni kitu gani si muwapishe wengine tuone mabadiliko,kwa ujumla hakuna jipya ccm ni wezi tu wamejaa huko na uchu wa madaraka wizi wa waziwazi kama mlikuwa manajua mtashinda arusha kwanini mlifanya uchaguzi bila CHADEMA kuwepo ni wizi tu ,na mnajimaliza wenyewe kabla ya kumalizwa,na zaidi mmejaa majungu,wakati wa CUF mliibuka hivi hivi mkafikiri silaha ya udini kwenu itafanya kazi kumbe ndo mnazidi kuumbuka,muwapishe wengine nchi imewashinda hii kwa uchu wenu wa mali na madaraka,wagawa rushwa wakubwa nyie.



Hivi watu wazima wanaweza kukaa pamoja wakapika majungu na kuteta eti fulani anavaa chupi gani!!!??
Kweli CCM "menemene tekel na peres"
 
Kwa ujumla wake, niwaambie UV-CCM, tamko mwafaka kwa wakati mwafaka huleta impact mwafaka katika jambo lolote. kwa haya mlioyatolea "tamko" wenzenu walishawawahi. Eleweni kitu kitu kisiwaelewe.
 
Tamko lao limejaa unafiki mtupu, hakuna hata chembe ya ukweli; chukua hili suala la kuitaka serikali kutaja mmiliki halisi wa Dowans, kama kweli wanamanisha wanachosema siwangeliitaka serikali imuulize Rostam Aziz awabaini watu hao maana ndiyo anayetajwa katika uamuzi wa kesi ya Dowans kwamba alipewa "power of attorney" na wamiliki hao kuwatunzia hazina yao!
 
Blah blah tupu UVCCM kujionesha wanafanya kazi. Huyo Malisa kuwa hapo alijichanganya vizuri na hao anaojaribu kuwakemea so sanaa tu. Kumbuka kwa hali iliyopo ni vigumu sana kuwa top fulani uvccm bila mkono wa fisadi.
 
Mapesa ya Rostam yanapelekesha watu watoe VITAMKO mpaka sina mbavu
 
Back
Top Bottom