Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,737
- 11,096
Kuna mdau humu aliwahi kuliongelea hili na leo ndio nimepata funzo zaidi.
Masikini ukiishi kwa unyenyekevu bila kumuonesha dharau ya aina yoyote kwa akili zake atamuhisi umemuogopa, masikini wengi wenye umasikini uliopitiliza (absolutely poverty) pia huwa na sifa ya kuwa wapumbavu, na ndio hawa wengi wao ni mtaji wa CCM.
Masikini hatakiwi kuonewa huruma, masikini hatakiwi kuthaminiwa kabisa na ukimthamini sana ujue unajitengea janga hapo baadae lakini pia niongezee kidogo kutoa ushauri kwa vijana hasa ambao mmemaliza elimu za vyuo na mmebahatika kupata ajira aidha kwenye sekta binafsi au za umma
Unapopata mshahara wako wa kwanza tafuta nyumba nzuri yenye hadhi, usitafute nyumba za hovyohovyo eti unabana mshahara ili ufanye maendeleo hapo baadae yatakukuta makubwa kabla hata hujafanya hayo maendeleo.
Umeajiriwa na level yako stashahada au shahada na mshahara wako labda ni kuanzia laki tano na kuendelea uwezo wa kula maini au nyama ya kuku unao lakini mazingira unayoishi wenyeji wako ni dagaa na mchicha kila siku aisee mkuu yatakukuta tafuta makazi yenye watu wa hadhi yako vinginevyo yatakukuta.......
Masikini ukiishi kwa unyenyekevu bila kumuonesha dharau ya aina yoyote kwa akili zake atamuhisi umemuogopa, masikini wengi wenye umasikini uliopitiliza (absolutely poverty) pia huwa na sifa ya kuwa wapumbavu, na ndio hawa wengi wao ni mtaji wa CCM.
Masikini hatakiwi kuonewa huruma, masikini hatakiwi kuthaminiwa kabisa na ukimthamini sana ujue unajitengea janga hapo baadae lakini pia niongezee kidogo kutoa ushauri kwa vijana hasa ambao mmemaliza elimu za vyuo na mmebahatika kupata ajira aidha kwenye sekta binafsi au za umma
Unapopata mshahara wako wa kwanza tafuta nyumba nzuri yenye hadhi, usitafute nyumba za hovyohovyo eti unabana mshahara ili ufanye maendeleo hapo baadae yatakukuta makubwa kabla hata hujafanya hayo maendeleo.
Umeajiriwa na level yako stashahada au shahada na mshahara wako labda ni kuanzia laki tano na kuendelea uwezo wa kula maini au nyama ya kuku unao lakini mazingira unayoishi wenyeji wako ni dagaa na mchicha kila siku aisee mkuu yatakukuta tafuta makazi yenye watu wa hadhi yako vinginevyo yatakukuta.......