Sikuwahi kuwaunga mkono waliokuwa wanamzogoa Kanumba wakati alipolazimika kuongea kiingereza huko BBA, lakini hii baada ya kuingia kwenye tovuti yake kwa kweli imebidi na mimi niongee kitu.
Hivi kwani huyu dogo kama angeandika biography yake kwa kiswahili angepungukiwa nini? maana hicho kiingereza alivyokichanganya kwa kweli mpaka kinatia kichefuchefu.
Nakumbuka wakati anawalalamikia waTz kwa kumsema vibaya nakumbuka alisema kuwa mbona kuna wasanii wengi wakubwa hawajui kiingereza na hakuna mtu yoyote anayewasogoa, ingawa dogo kuna kitu alisahau, kuwa hao wasanii wakubwa wasiojua kiingereza huwa hawa pretend kujua kiingereza hata kidogo, kila wanapohojiwa na vyombo vya habari vya kimataifa wataongea lugha waliyoizoea na hicho chombo cha habari kitakuwa na jukumu la kutafuta namna ya kutafisiri hayo mazungumzo.
Sasa yeye amevuruga kila kitu kwenye hiyo tovuti, eti "I originate from Shinyanga region in Tanzania" au "I was given birth on january 8th 1984"
Nisimalize utamu, bonyeza hicho kiunganisho cha tovuti hapo chini tusaidiane kulalamika
HugeDomains.com - KanuMba.com is for sale (Kanu Mba)
Hivi kwani huyu dogo kama angeandika biography yake kwa kiswahili angepungukiwa nini? maana hicho kiingereza alivyokichanganya kwa kweli mpaka kinatia kichefuchefu.
Nakumbuka wakati anawalalamikia waTz kwa kumsema vibaya nakumbuka alisema kuwa mbona kuna wasanii wengi wakubwa hawajui kiingereza na hakuna mtu yoyote anayewasogoa, ingawa dogo kuna kitu alisahau, kuwa hao wasanii wakubwa wasiojua kiingereza huwa hawa pretend kujua kiingereza hata kidogo, kila wanapohojiwa na vyombo vya habari vya kimataifa wataongea lugha waliyoizoea na hicho chombo cha habari kitakuwa na jukumu la kutafuta namna ya kutafisiri hayo mazungumzo.
Sasa yeye amevuruga kila kitu kwenye hiyo tovuti, eti "I originate from Shinyanga region in Tanzania" au "I was given birth on january 8th 1984"
Nisimalize utamu, bonyeza hicho kiunganisho cha tovuti hapo chini tusaidiane kulalamika
HugeDomains.com - KanuMba.com is for sale (Kanu Mba)