Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Mkuu nccr ilikuwa imebebwa na mrema tofauti CDM mkuu naona historia inakupiga chenga kidogounadhani siasa za BONGO zina tabirika!
hivi unawakumbuka NCCR mwaka 1995...... wafananishe na sasa
halafu piga picha chadema 2025....................!!
(natabiri kama chadema ikiangukia pua 2015..... basi itakuwa kama NCCR story yake!!!!!)