tembeleh2
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 765
- 165
Hii sayansi na teknologia sasa inatupeleka pabaya. Hivi karibuni wataalam toka china wameleta mashine maalumu ya kunyanyua matiti (yawe na muonekano wa saa 6) ambayo itawasaidia kina dada/mama wenye maziwa yaliyoanguka au kusinyaa kuwa na muonekano mzuri. Huduma hii imeshaanza kutolewa hapa nchini maeneo ya sinza. Wana JF hivi hawa wachina wanatutakia mema kweli??? Je wanaweka wazi madhara yanayoweza kuwapata baadae hao watakaonyanyua matiti yao??? je shughuli hii ina tija kwa watanzania???