LOGORIDDIM
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,407
- 903
Za leo wakuu. Najipanga ili Mwenyezimungu akipenda nijiingize ktk production ya mafuta ya alizeti. Naomba msaada Wa yeyote anayejua upatikanaji Wa mashine ya kusagia alizeti uko vipi.
nenda Sido zinapatikana