Kwa hakika mwenye kuung'ang'ania muungano ndio mwenye faida nao, mtu huwezi kukomalia kitu kama huna haja nacho, kwanza nini kilichoungana hapa zaidi pesa na kujaza viongozi wabara zanzibar, au muungano wa umeme, na huu si muungano ni MUU-NGUZANO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.