Wana JF,
Naomba msaada wa mtu anayeweza kuniambia mtu anayemshonea mashati Kikwete-sijui niyaite ya kitanzania au ya kia Africa? Kuna mtu anayataka na ameyazimia nimeshindwa kujua pa kuyapata mwenye uwezo wa kumjua mtengenezaji au mtu mwingine mwenye hivyo vitambaa na quality ile au inayokaribia anijuze.
Naomba msaada wa mtu anayeweza kuniambia mtu anayemshonea mashati Kikwete-sijui niyaite ya kitanzania au ya kia Africa? Kuna mtu anayataka na ameyazimia nimeshindwa kujua pa kuyapata mwenye uwezo wa kumjua mtengenezaji au mtu mwingine mwenye hivyo vitambaa na quality ile au inayokaribia anijuze.