Papizo JF-Expert Member Feb 24, 2008 4,946 1,432 Oct 6, 2013 #21 Hapo karibu na maji naweza pata hata eka 4 au 5 mkuu?? Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Hapo karibu na maji naweza pata hata eka 4 au 5 mkuu?? Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
1800 JF-Expert Member Dec 27, 2010 2,215 603 Oct 6, 2013 Thread starter #22 Papizo said: Hapo karibu na maji naweza pata hata eka 4 au 5 mkuu?? Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums Click to expand... Nimesha ku pm mkuu!
Papizo said: Hapo karibu na maji naweza pata hata eka 4 au 5 mkuu?? Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums Click to expand... Nimesha ku pm mkuu!
1800 JF-Expert Member Dec 27, 2010 2,215 603 Oct 6, 2013 Thread starter #23 imaney said: huko unaweza kulima mpunga? Click to expand... Maeneo unayoweza kulima mpunga wa umuagiliaji yapo ila ni tofauti na haya,na bei zake zipo juu kidogo!
imaney said: huko unaweza kulima mpunga? Click to expand... Maeneo unayoweza kulima mpunga wa umuagiliaji yapo ila ni tofauti na haya,na bei zake zipo juu kidogo!
Papizo JF-Expert Member Feb 24, 2008 4,946 1,432 Oct 7, 2013 #24 1800 said: Nimesha ku pm mkuu! Click to expand... Asante sana
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,476 29,191 Oct 7, 2013 #25 1800 said: Maeneo unayoweza kulima mpunga wa umuagiliaji yapo ila ni tofauti na haya,na bei zake zipo juu kidogo! Click to expand... Yanafikia ngapi Mkuu?
1800 said: Maeneo unayoweza kulima mpunga wa umuagiliaji yapo ila ni tofauti na haya,na bei zake zipo juu kidogo! Click to expand... Yanafikia ngapi Mkuu?
1800 JF-Expert Member Dec 27, 2010 2,215 603 Oct 10, 2013 Thread starter #26 Shark said: Yanafikia ngapi Mkuu? Click to expand... Hayo ni 350 kwa heka mkuu
S Subbi Senior Member May 3, 2013 115 22 Oct 10, 2013 #27 hello ndugu. mashamba jirani na maji bado yanapatikana?
1800 JF-Expert Member Dec 27, 2010 2,215 603 Oct 12, 2013 Thread starter #28 Subbi said: hello ndugu. mashamba jirani na maji bado yanapatikana? Click to expand... Zinaweza patikana heka 7 mkuu,mashamba ya karibu na mto demand yake ni kubwa kulinganisha na ya kawaida
Subbi said: hello ndugu. mashamba jirani na maji bado yanapatikana? Click to expand... Zinaweza patikana heka 7 mkuu,mashamba ya karibu na mto demand yake ni kubwa kulinganisha na ya kawaida
K Kiumbo JF-Expert Member Feb 4, 2012 560 122 Oct 12, 2013 #29 Msowelo ni huko kuelekea shule ya msolwa sekondari unaweza pitia mikumi mjini?
1800 JF-Expert Member Dec 27, 2010 2,215 603 Oct 13, 2013 Thread starter #30 Kiumbo said: Msowelo ni huko kuelekea shule ya msolwa sekondari unaweza pitia mikumi mjini? Click to expand... Ndio ndugu,unaweza fika kwa kupitia Mikumi au kupitia Dumila kama unatokea Morogoro mjini
Kiumbo said: Msowelo ni huko kuelekea shule ya msolwa sekondari unaweza pitia mikumi mjini? Click to expand... Ndio ndugu,unaweza fika kwa kupitia Mikumi au kupitia Dumila kama unatokea Morogoro mjini