mimi nipo arusha, natafuta sehemu ambayo wanakodisha mashamba kwaajili ya kilimo, pia nahitaji kujua ni mazao gani hasa yanalimwa kwenye hayo mashamba. msaada tafadhali
Karibu sana Arumeru njia ya kwenda Mbuguni ukitokea Tengeru. Huko kuna settler mmoja anaitwa Oscar ana land nzuri ya kufa mtu! Mahindi, nyanya, mpunga, maharage, ngogwe, bamia, tango na hata mazao mengine yanakubali vizuri. Inasemekana jamaa ana acres kama 800 hivi kwenye bonde zuri sana na kilimo ni cha umwagiliaji kwa kutumia mifereji. Kwa kweli pako vizuri ila bei nayo naambiwa ni TZSH 70,000 kwa msimu, kwa kweli kama msimu huu hakuna shamba lililobaki maana kote ni kijani kizuri sana.
Ukipenda nitakuunganisha na mwenyekiti wa Kitongoji cha jirani kwa habari zaidi.
Karibu sana Arumeru njia ya kwenda Mbuguni ukitokea Tengeru. Huko kuna settler mmoja anaitwa Oscar ana land nzuri ya kufa mtu! Mahindi, nyanya, mpunga, maharage, ngogwe, bamia, tango na hata mazao mengine yanakubali vizuri. Inasemekana jamaa ana acres kama 800 hivi kwenye bonde zuri sana na kilimo ni cha umwagiliaji kwa kutumia mifereji. Kwa kweli pako vizuri ila bei nayo naambiwa ni TZSH 70,000 kwa msimu, kwa kweli kama msimu huu hakuna shamba lililobaki maana kote ni kijani kizuri sana.
Ukipenda nitakuunganisha na mwenyekiti wa Kitongoji cha jirani kwa habari zaidi.
mimi nipo arusha, natafuta sehemu ambayo wanakodisha mashamba kwaajili ya kilimo, pia nahitaji kujua ni mazao gani hasa yanalimwa kwenye hayo mashamba. msaada tafadhali
..wtf!!!@#$%$#
kumbe!! wameru ndo walivyo? mnaniogopesha. na ninataka sana kulima...sijui nifanyaje
Kama unawahanya Wameru njoo tazama mashamba yaliyoko post na uwanja ndogo wa ndege kisongo bila shaka utapata unachotaka!
Na kama unataka nikuunganishe na walengwa wa mashamba yenyewe!
Mkuu ulienda kulia kiteto kama ulivyo ahidi kama ndio tunaomba mrejesho mwaka huu nataka niwahikama unataka mahindi nenda kiteto au babati, ni elf10 kukod eka,, kulima n elf40. mengineyo utayapata uko? msiulize maswal nimepita uko mara1 mtarud tena 2013 kwa ajil ya kilimo cha 2014.