Ghost Republic
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 544
- 400
Natafuta Mashamba ya Bei Rahisi kwenye Mikoa ya Kagera na Tabora. Mashamba yenye ukubwa wa zaidi ya ekari 50, yawe na upatikanaji wa maji ya kutosha na hali bora ya hewa.
Mwenye taarifa za kutosha au mawazo juu ya upatikanaji wa hayo mashamba, pamoja, tricks na ushauri, wanakaribishwa sana. Wanyama nitakaofuga ni ng'ombe, mbuzi, na kondoo. Naswasilisha mahitaji yangu kwa wote wenye ujuzi au taarifa kuhusu hili.
"Omba, nawe utapewa; tafuta, nawe utaona; bisha, nawe utafunguliwa." (Mathayo 7:7)
Mwenye taarifa za kutosha au mawazo juu ya upatikanaji wa hayo mashamba, pamoja, tricks na ushauri, wanakaribishwa sana. Wanyama nitakaofuga ni ng'ombe, mbuzi, na kondoo. Naswasilisha mahitaji yangu kwa wote wenye ujuzi au taarifa kuhusu hili.
"Omba, nawe utapewa; tafuta, nawe utaona; bisha, nawe utafunguliwa." (Mathayo 7:7)