The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
Wadau nauliza kwa yeyote ambaye ana taarifa za uhakika kuwa kuna mashamba yanauzwa kwa bei rahisi sana huko Moro kuwa hizo habari ni za kweli na hekari ni Tshs ngapi na ni maeneo gani hasa mashamba hayo yapo sokoni.