Mashabiki wa Chelsea achane izo...

bryan2

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
3,323
4,667
Kila shabiki wa Chelsea Jana na leo wanakwambia Chelsea imefungwa ila nashukuru kwa Tanzania Simba imenifuta Machozi.

Arsenal 3 Chelsea 0.
Simba 4 majimaji 0
 
Tuna share maumivu hapa
Naona Stand leo wamechafua gazeti,ila beki hazikua na umakini sana leo wamecheza kipole mnoo combination ya bossou/Dante bado haijakaa vizuri nahisi kocha ameliona ilo.

Pia viungo leo walipotea kbsa labda uchovu na maandalizi ya moja octoba
 
Back
Top Bottom