Mashabiki Simba mtacheza ngoma za Yanga hadi muite maji mma

Ahyan

JF-Expert Member
Jun 7, 2019
1,765
4,175
  • Tulianza na la suala la usajili kipindi kile akina Aziz Ki
  • Tukarudi kwa Kisinda
  • Tukaenda kwa Feisal
  • Tukarudi CAF na mvua
  • Tukawagongea nguma ya mechi za ugenini CAF
  • Tukaja kwenye nusu fainali CAFCC na fainali yake
  • Tukahamia kwenye medali za CAF
  • Tukarudi kwenye kiatu NBC PL
  • Sasa tupo kwenye Bingwa wa AFC, na Simba kucheza CAFCC msimu ujao.

NB: Mna takribani miaka 10 ya kucheza ngoma ya Mabingwa Yanga, hivyo kazeni vibwebwe.
 
FB_IMG_1682646137959.jpg
 
Back
Top Bottom