Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Lakini hii imekuwa ni tabia ya wanaCCM wengi kwa kumbu kumbu zangu
Mh Waziri mkuu mstaafu ama aliyejiuzulu sijui kufukuzwa Lowasa aliondoka na thamani za nyumba ya waziri mkuu tena usiku alipokuwa akihama.
Mzee Sumaye naye aliondoka na thamani akahamishia kwake
Mzee Jumanne Malecela naye aliamua kung'oa mashine za maji kule Mtera alizoziweka kwa mbwembwe baada ya kushindwa akachukia
Huyu naye Masha anabeba hata picha za ukutani
Kazi kweli kweli
Mkuu, kwahiyo masha alichofanya ni kudumisha mila kwa kuendeleza ule utamaduni wao wa chukua chako mapema.