Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Habari nilizozipata hivi punde kutoka Masasi ni kuwa maandamano yameanza tena na safari hii yanaongozwa na dereva boda boda ambao wameingia barabarani.
Source rafiki yangu ambae yupo Masasi muda huu
Updates
Risasi za moto na mabomu ya machozi yanapigwa kutawanya watu na tayari nyumba moja imechomwa moto. Gari la maji ya kuwasha limefika ila bado watu wanazidi kuongezeka
Updates
Tayari gari na nyumba ya mbunge imechomwa moto na vijanga wanazidi kusonga mbele wakiwa na madumu ya petrol
Updates.
Mahakama ya mwanzo imechomwa.moto na polisi wamejifungia ndani.wanarusha mabomu ya machozi wakiwa ndani. Askari magereza wamejaribu kuwasha gari la maji ya kuwasha lakini bahati mbaya halina.maji hivyo wakashuka na kukimbia na wananchi wanataka kulichoma moto
mkuu nipo..bar ya sewa buguruni nakunywa bia...ebwana i.t.v...habali zilizotufikia wanaonyeshaaa....naangalia live hapa bar watu wamejaa kweli kweli....aisee watu hawamini kama tupo tanzania....au vaticany city